All
Afya
Afya & Maisha
Afya Na Maisha
Agriculture
Biashara
Biashara
Burudani
Chati & Data
Columnists
Commodities
Consumer Price Index
Currencies
Debunking Stories
Education
Education Stories
Fuel Price
Gender
Global Market Data
Habari
Import And Export
Infographics
Infographics
Jiko Point
Maoni & Uchambuzi
Mapishi
Masoko
Matukio
Maujanja
News
Nishati Safi
Nuktafakti
Ripoti Maalum
Safari
Safari
Tech
Teknolojia
Telecom
Telecom
Uchaguzi
Uchunguzi
Uncategorized
Vinywaji

Currencies · July 8, 2026 9:49 am

Shilingi ya Tanzania yaimarika kidogo dhidi ya Shilingi ya Kenya

Hii inaonyesha ongezeko la senti 4 katika viwango vyote vya kununua na kuuza.

Habari · July 7, 2026 1:31 pm

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Sehemu kubwa ya barabara jijini Dar es Salaam zina msongamano mdogo huku ulinzi ukiimarishwa kwenye makutano ya barabara kuu. 

Biashara · July 4, 2026 3:18 pm

TRA yavuka lengo ikikusanya Sh37.96 trilioni 2025/26

Ni sawa na asilimia 105.24 ya lengo kulinganisha na lengo la Sh36.07 lililokusudiwa kukusanywa.

Biashara · July 3, 2026 1:09 pm

Juu zaidi: BoT yapandisha riba ya benki kuu hadi 6.25%

Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.

Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm

Marekani, Tanzania zasaini makubaliano afya ya $3.1 bilioni

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi. 

Debunking stories · July 1, 2026 5:19 pm

Si kweli : Serikali imeongeza likizo ya wanafunzi kwa siku 7

Nukta Fakti yabaini dosari katika barua ikiwemo muundo wa kiutawala, jina na sahihi ya kiongozi mwenye thamana pamoja na ukakasi kwenye sababu za kuongezwa kwa likizo.

Currencies · July 1, 2026 8:32 am

Dola yapanda kidogo Julai, Euro na Pauni zashuka kulinganisha na Juni

Wafanyabiashara watalazimika kutoboa mifuko zaidi mwanzoni mwa mwezi Julai kulinganisha na mwezi mwanzoni mwa Juni.

Biashara · July 1, 2026 7:13 am

Ahueni bei ya petroli, dizeli mafuta ya taa ikishuka

Bei za mafuta katika soko la hapa nchini zinashuka kwa Shilingi 96 kwa lita ya petroli, Shilingi 151 kwa lita ya dizeli na Shilingi 242 kwa lita ya mafuta ya taa

Biashara · June 30, 2026 4:38 pm

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuchukua mkopo 

Angalia hali ya kipato chako, usikope kufanya anasa, nidhamu ya fedha ni muhimu. Mkopo wenye riba nafuu na unaorejeshwa kwa muda mrefu ndio rafiki.

News · June 30, 2026 3:09 pm

Gawio la Serikali lapaa kwa asilimia 30 lafikia Sh1.327 trilioni

Mchechu amesema utegemezi wa taasisi zisizo za biashara umeendelea kupungua kwa asilimia 12.8, hatua inayoonyesha kuimarika kwa ufanisi na usimamizi wa taasisi hizo.

Biashara · June 29, 2026 2:35 pm

Sarafu 5 zenye nguvu zaidi duniani

Ukiwa na kiasi kidogo cha sarafu hizo unaweza kupata Dola nyingi zaidi. 

Biashara · June 27, 2026 1:04 pm

Matumizi ya Dola miamala ya ndani yanavyoweza kuathiri uchumi wa Tanzania

Matumizi yakizidi hudhoofisha nguvu ya ununuzi kwa shilingi na kuchochea mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi

News · June 26, 2026 2:27 pm

Serikali yasitisha tena mikutano ya siasa Tanzania

Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi asema lengo la uamuzi huo ni kuimarisha ulinzi na usalama wa nchi

Currencies · June 26, 2026 9:27 am

Pauni na Euro zaendelea kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania

Dola ya Marekani na sarafu zingine za kigeni zaendelea kuwa tulivu.

News · June 25, 2026 1:27 pm

Wizara tano zilizoidhinishiwa fedha nyingi 2026/27

Dar es Salaam. Wakati Bunge la 13 likikaribia kufunga shughuli zake, wizara 27 pamoja na Serikali Kuu zimehitimisha mchakato wa kuwasilisha na kupitisha bajeti zao, hatua inayoweka msingi wa kuanza kwa mwaka mpya wa fedha 2026/27 Wizara hizo zilianza rasmi kuwasilisha bajeti zao Aprili 1, mwaka huu na kuhitimisha Juni 2, 2026, ikifuatiwa na Bajeti […]

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Nukta TV

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV