Ijumaa, Machi 29, 2024
Asema Wizara ya Afya nchini Tanzania ilikuwa na mapungufu katika kuwabaini wagonjwa hao mwaka 2022/2023.
Hasara yaongezeka kwa asilimia 61 licha ya ruzuku ya Sh31.5 bilioni iliyotolewa.
Viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotumika leo Machi 27, 2024
Ni jaribio la kwanza kati ya majaribio matatu yanayotakiwa kufanyika. Majaribio hayo yataifanya meli hiyo kukamilika kwa asilimia 96.
Waziri Mkuu Majaliwa asema kuongezeka kwa ndege za ATCL kutaifanya Tanzania kukuza biashara ndani na nje ya nchi. Ndege ya Boeing 737 - 9 Max iliyopokelwa leo inaifanya Tanzania kuwa na jumla ya ndege 15 tangu kufufuliwa kwa ATCL mwaka 2016.
Wasema ushindi huo utabadilisha maisha yao.
Ni pamoja na kuimarisha ustawi wa wanawake na kupunguza athari za kiafya. Wadau wa nishati waja na mpango kuongeza usawa wa nishati nchini.
Tanzania's recent strides in the mining sector, under the visionary leadership of President Dr. Samia Suluhu Hassan, have set a new standard for the African continent and beyond.
Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake. Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu. Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.
Scientists and local and international conservationists have sounded the alarm that the Lake Manyara tilapia population is fading due to overfishing and pollution
Yasema ubovu wa barabara ulikwamisha baadhi ya shughuli za utalii.
Asema ni miongoni mwa maeneo ambayo Serikali inafanya uwekezaji mkubwa kwa kasi