Nukta Fakti
All
Debunking Stories
Education Stories
Infographics

Fact Check · August 13, 2024 7:28 pm

Si kweli: Vaseline na kitunguu maji vinaongeza makalio

Katika baadhi ya tamaduni wanawake wenye makalio makubwa hutafsiriwa kama warembo zaidi, hali hiyo imesababisha kuwepo na msukumo wa baadhi ya wanawake kutaka kuongeza maumbile yao ili kuongeza mvuto. Msukumo huo umesababisha kuenea kwa taarifa potofu zinazoelezea mbinu za kuongeza makalio ambazo baada ya uchambuzi wa kina zimebainika kuwa si kweli. Mathalani, hivi karibuni kumekuwa […]

Fact Check · July 30, 2024 4:50 am

Si kweli: Vidonge vya Paracetamol P 500 vina virusi vya Machupo

TMDA yakanusha uwezekano wa virusi kukaa kwenye dawa
Yawataka wananchi kujenga utaratibu wa kupata taarifa kwenye vyanzo sahihi kabla ya kusambaza.

Fact Check · July 26, 2024 4:36 am

Ukweli kuhusu video ya utekaji watoto Dar es Salaam

Ni video ya tukio la kweli lililotokea mwaka 2022.
Tukio hilo lilitokea eneo la Bongoni katika mpaka wa Buguruni na Ilala, Dar es Salaam.

Fact Check · July 15, 2024 5:25 am

Chukua hiyo: Ndizi haziongezi maji maji (ute) ukeni

Ukavu ukeni husababishwa na mabadiliko ya vichocheo mwilini
Faida nyingine za ulaji wa ndizi ni pamoja na kuimarisha mifupa

Fact Check · July 11, 2024 9:07 am

Si kweli: video zinazoonesha mnyama wa baharini mwenye kichwa cha ng’ombe

Nukta Fakti ilifanya uchunguzi na kugundua kuwa picha hizo zimetengenezwa na kuhaririwa kwa kutumia akili ya bandia (AI).

Fact Check · July 9, 2024 1:42 pm

Sio kweli ni uzushi, Gen Z Kenya wakivuta moshi wa bomu la machozi

Utafiti uliofanywa na Nukta Fakti umeonyesha kuwa bomu hilo la machozi lilishatoa gesi yake hivyo mwandamanaji huyo aliweza kulitumia kama chombo cha kawaida.

Fact Check · July 8, 2024 7:51 am

Debunked: Kenyan MP’s did not eat in the bush following bill protest

The video was taken during the funeral of Francis Koka, the father of Silvestry Koka, a Member of Parliament in Tanzania.

One among the people in the video is Freeman Mbowe, a Chairperson of Democratic and Development Party (Chadema).

Fact Check · July 3, 2024 1:44 pm

Sio Kweli: Gen Z wachoma moto ndege ya Rais wa kenya

Ndege iliyochomwa ilikuwa ikitumika kama mgahawa katika bustani ya Uhuru.
Eneo ilipo ndege hiyo ni katikati ya mji na si sehemu ya ndege kutua.

Fact Check · February 20, 2024 4:44 am

Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’

Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake.
Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu.
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.

Fact Check · January 24, 2024 4:44 am

Si kweli: Vidonge vya paracetamol vina Virusi vya Machupo

TMDA ilishakanusha uwezekano wa virusi hivyo kukaa kwenye vidonge.
Aidha dawa hiyo haijasajiliwa kuuzwa hapa nchini Tanzania.

Fact Check · January 18, 2024 1:32 pm

Si kweli: Mtu ajirusha ghorofa ya nne hoteli ya bondeni Magomeni Tanzania

Ni Mombasa nchini Kenya.
Uchunguzi wa Nukta Fakti umebaini chanzo si fumanizi kama ilivyoelezwa awali.

Fact Check · January 18, 2024 10:53 am

Si kweli: Maji yaliyo gandishwa yanua vijidudu vya kipindupindu

Wataalamu wasema vijidudu vya kipindupindu huzaliana zaidi vikiwa kwenye maji ya baridi au yaliyoganda

Fact Check · January 9, 2024 9:28 am

Hapana: Ofisi ya Waziri Mkuu haitoi mikopo kwa wananchi

Yasema haitambui kampuni ya Branch Mikopo inayodaiwa kutoa mikopo hiyo kwa udhamini wa Ofisi ya Waziri Mkuu.

Fact Check · January 3, 2024 2:50 pm

Sio kweli: Thabo Mbeki hajafariki dunia

Taarifa zaeleza ni mzima na ana afya njema.

Fact Check · September 5, 2023 9:16 am

Si kweli: Spika wa Gabon hajakamatwa akitoroka na hela baada ya mapinduzi

Video zinazosambaa zilichapishwa tangu mwaka 2022.
Ni Spika mstaafu wa Bunge la Gabon aliyekamatwa akiwa na zaidi ya Faranga bilioni moja.

Enable Notifications OK No thanks