Jiko Point
All
Afya Na Maisha
Biashara
Mapishi
Matukio
Maujanja
Nishati Safi
Vinywaji

Biashara · August 5, 2026 9:17 am

Ahueni bei ya mafuta ikishuka kiduchu

Bei ya petroli imepungua kwa Sh92 kwa lita, dizeli kwa Sh204 kwa lita, huku mafuta ya taa yakishuka kwa Sh440 kwa lita ikilinganishwa na viwango vya mwezi uliopita.

Biashara · May 22, 2026 5:47 pm

Bidhaa za chakula zapaisha mapato ya biashara ya Tanzania na EAC kwa asilimia 8.9

(EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.

Biashara · March 26, 2026 7:38 pm

Meli za mafuta ya ndani kupewa kipaumbele Tanzania

Hatua hiyo imelenga kuharakisha uingizaji wa mafuta ya petroli katika soko la ndani kupunguza presha ya uhaba wa nishati hiyo.

Biashara · March 4, 2026 9:19 am

Kuzimwa kwa intaneti kunavyoathiri maisha ya Watanzania

Husababisha kusimama kwa shughuli za kiuchumi, kuvuruga mawasiliano, hasara ya kifedha na huathiri elimu na huduma za afya.

Biashara · February 16, 2026 6:19 pm

Sababu baadhi ya bidhaa za chakula kutengwa Soko Kuu la Kariakoo

Wafanyabiashara hao wametoa malalamiko ikiwa ni takribani miaka mitano tangu soko hilo liteketee kwa moto Julai 11, 2021.

Biashara · December 26, 2025 8:57 am

‘Pressure cooker’: Zawadi bora ya msimu wa sikukuu kwa familia

Ikiwa unatafuta zawadi ya maana kwa krismasi au mwaka mpya jikopoint tunakupa chaguo ambalo unaweza kuwafurahisha wapendwa wako.

Biashara · July 1, 2025 6:07 pm

Zifahamu aina za zabibu na matumizi yake

Zabibu ni tunda lenye mvuto wa kipekee linalotumiwa duniani kote kwa njia mbalimbali ikiwmo kuliwa kama tunda bichi au kutengeneza mvinyo.

Biashara · February 19, 2025 7:19 pm

Mauzo ya kahawa kufikia Sh2.5 trilioni 2030

Yalenga kuongeza uzalishaji hadi kufikia tani 300,000 ifikapo mwaka 2030.

Biashara · February 17, 2025 2:38 pm

Tangsen yachagiza matumizi ya nishati safi ya kupikia Pwani

Yawakutanisha wadau wa nishati kujadili mikakati ya kuendeleza nishati safi na salama ya kupikia wilayani Kisarawe mkoani Pwani

Biashara · January 9, 2025 4:09 pm

Choroko, dengu, mbaazi, soya, ufuta sasa kuuzwa kidijitali 

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (Copra) imesema kuanzia Januari 2025, baadhi ya mazao jamii ya mikunde ikiwemo choroko yataanza kuuzwa kwa minada ya kidijitali.

Biashara · October 25, 2024 6:40 pm

Ahueni: Bei ya viazi mviringo yashuka Singida

Gunia la viazi mviringo la kilo 100 Sindiga linauzwa Sh65,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa katika mikoa mingine.

Biashara · October 11, 2024 4:27 pm

Bei ya ngano bado kitendawili mkoani Lindi

Kununua gunia la ngano la kilo 100 mkoani Lindi itakulazimu kulipa Sh400,000 ikiwa ndiyo bei ya juu zaidi kurekodiwa nchini Octoba 11,2024.

Biashara · September 9, 2024 6:50 pm

Jinsi ya Kutengeneza mvinyo wa machungwa

Kwa waliozoea kutumia machungwa kama tunda au kama juisi ya kawaida wanaweza wasiamini kuwa tunda hilo linaweza kutengeneza mvinyo, wenye uwezo wa kuwaburudisha wanywaji. Kwa mujibu wa kitabu cha matunda na mboga mboga kinachotolewa na Wizara ya Kilimo aina hii ya mvinyo ina wingi wa virutubisho ikiwemo sodiamu, potasiamu, kalsiamu na fosforasi. Kinywaji hiki pia […]

Biashara · September 5, 2024 3:21 pm

Jinsi ya kupika bagia za kunde

Faidika wewe na familia huku ukiweza kuzipika kwaajili ya biashara na kujiingizia kipato.

Biashara · August 27, 2024 8:17 pm

Jinsi ya kutengeneza dagaa nyama nyumbani

Dagaa wa nyama au maarufu kama dagaa wa Zanzibar  ni mboga inayozidi kujizolea umaarufu katika masoko mengi nchini, wakisambaa kutoka mikoa ya Pwani kama Dar es Salaam, hadi mikoa isiyopitiwa na bahari ikiwemo Kilimanjaro na Arusha. Umaarufu wa dagaa hawa unatokana na uwezo wake wa kuhifadhiwa hadi miezi sita na kuwawezesha wafanyabiashara kuwasafirisha maeneo mbalimbali […]

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Akili Unde (AI) ni suluhu ya habari za uzushi ?

Akili Unde (AI) ni suluhu ya habari za uzushi ?

Nukta TV

KAOMBWE: Mfungwa aliyegeuza gereza kuwa darasa la ujuzi Mwanza

KAOMBWE: Mfungwa aliyegeuza gereza kuwa darasa la ujuzi Mwanza

Nukta TV

BoT yafungua soko la dhamana za Serikali kwa wawekezaji wa kigeni

BoT yafungua soko la dhamana za Serikali kwa wawekezaji wa kigeni

Nukta TV