Biashara · May 22, 2026 5:47 pm
(EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.
Biashara · March 26, 2026 7:38 pm
Hatua hiyo imelenga kuharakisha uingizaji wa mafuta ya petroli katika soko la ndani kupunguza presha ya uhaba wa nishati hiyo.
Biashara · March 4, 2026 9:19 am
Husababisha kusimama kwa shughuli za kiuchumi, kuvuruga mawasiliano, hasara ya kifedha na huathiri elimu na huduma za afya.
Biashara · February 16, 2026 6:19 pm
Wafanyabiashara hao wametoa malalamiko ikiwa ni takribani miaka mitano tangu soko hilo liteketee kwa moto Julai 11, 2021.
Biashara · December 26, 2025 8:57 am
Ikiwa unatafuta zawadi ya maana kwa krismasi au mwaka mpya jikopoint tunakupa chaguo ambalo unaweza kuwafurahisha wapendwa wako.
Biashara · July 1, 2025 6:07 pm
Zabibu ni tunda lenye mvuto wa kipekee linalotumiwa duniani kote kwa njia mbalimbali ikiwmo kuliwa kama tunda bichi au kutengeneza mvinyo.
Biashara · February 19, 2025 7:19 pm
Yalenga kuongeza uzalishaji hadi kufikia tani 300,000 ifikapo mwaka 2030.
Biashara · February 17, 2025 2:38 pm
Yawakutanisha wadau wa nishati kujadili mikakati ya kuendeleza nishati safi na salama ya kupikia wilayani Kisarawe mkoani Pwani
Biashara · January 9, 2025 4:09 pm
Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (Copra) imesema kuanzia Januari 2025, baadhi ya mazao jamii ya mikunde ikiwemo choroko yataanza kuuzwa kwa minada ya kidijitali.
Biashara · October 25, 2024 6:40 pm
Gunia la viazi mviringo la kilo 100 Sindiga linauzwa Sh65,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa katika mikoa mingine.
Biashara · October 11, 2024 4:27 pm
Kununua gunia la ngano la kilo 100 mkoani Lindi itakulazimu kulipa Sh400,000 ikiwa ndiyo bei ya juu zaidi kurekodiwa nchini Octoba 11,2024.
Biashara · September 9, 2024 6:50 pm
Kwa waliozoea kutumia machungwa kama tunda au kama juisi ya kawaida wanaweza wasiamini kuwa tunda hilo linaweza kutengeneza mvinyo, wenye uwezo wa kuwaburudisha wanywaji. Kwa mujibu wa kitabu cha matunda na mboga mboga kinachotolewa na Wizara ya Kilimo aina hii ya mvinyo ina wingi wa virutubisho ikiwemo sodiamu, potasiamu, kalsiamu na fosforasi. Kinywaji hiki pia […]
Biashara · September 5, 2024 3:21 pm
Faidika wewe na familia huku ukiweza kuzipika kwaajili ya biashara na kujiingizia kipato.
Biashara · August 27, 2024 8:17 pm
Dagaa wa nyama au maarufu kama dagaa wa Zanzibar ni mboga inayozidi kujizolea umaarufu katika masoko mengi nchini, wakisambaa kutoka mikoa ya Pwani kama Dar es Salaam, hadi mikoa isiyopitiwa na bahari ikiwemo Kilimanjaro na Arusha. Umaarufu wa dagaa hawa unatokana na uwezo wake wa kuhifadhiwa hadi miezi sita na kuwawezesha wafanyabiashara kuwasafirisha maeneo mbalimbali […]
Biashara · August 26, 2024 5:26 pm
Tumezoea kuona aina mbalimbali za mapishi yanayohitaji vitunguu maji ambavyo ni miongoni mwa viungo muhimu jikoni. Kuanzia maandalizi ya kachumbari, pilau, mboga na aina nyingine za mapishi kitunguu maji kimekuwa kiungo muhimu ambacho huongeza ladha na kuwavutia walaji. Mbali na mapishi ya vyakula hivyo wapo wanaotumia kitunguu maji katika masuala ya urembo wa ngozi na […]