Afya & Maisha
Afya & Maisha · June 10, 2026 2:40 pm
Kwa ujumla, usalama wa chakula si suala la uchaguzi binafsi pekee, bali ni jukumu la pamoja linalohitaji elimu, uangalizi na hatua madhubuti ili kulinda kizazi kijacho.
Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm
Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.
Afya & Maisha · May 19, 2026 5:03 pm
Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.
Afya & Maisha · May 18, 2026 8:45 pm
Serikali ya Tanzania imeimarisha ufuatiliaji wa wagonjwa wenye dalili zinazofanana na Ebola katika jamii na vituo vya kutolea huduma za afya nchini kote.
Afya & Maisha · May 15, 2026 10:26 am
Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.
Afya & Maisha · May 4, 2026 6:43 pm
Aidha, mwanaume mwingine mwenye umri wa miaka 69 raia wa Uingereza anaendelea kupatiwa matibabu katika ICU huku hali yake ikielezwa kuwa mbaya.
Afya & Maisha · May 4, 2026 12:31 pm
Pamoja na kuimarisha afya ya mama vyakula hivyo husaidia katika ukuaji wa ubongo, mifupa na mfumo wa kinga wa mtoto aliye tumboni.
Afya & Maisha · April 20, 2026 7:11 pm
Nukta habari inakuletea mbinu saba zitakazokuwezesha kuvumilia udhaifu wa mwenza wako katika ndoa.
Afya & Maisha · March 18, 2026 9:09 am
Omega -3 ni mafuta ambayo yanapatika kwenye vyakula kama samaki wa bahari, 0mega-6 (alizeti) na omega-9 (mzaituni na parachichi).
Afya & Maisha · February 24, 2026 5:50 pm
Uwezo wa kushika mimba unategemea ushirikiano wa mifumo kadhaa ya mwili wa mwanamke pamoja na ubora wa mbegu za mwanaume.
Afya & Maisha · February 20, 2026 5:34 pm
Ugonjwa huo wa kula umegawanyika katika makundi mbalimbali ikiwemo ‘binge eating disorder’ na ‘bulimia nervosa’, ambayo yote yanahusisha ulaji kupita kiasi.
Afya & Maisha · February 17, 2026 5:51 pm
Arusha. Kondomu ni miongoni mwa nyenzo muhimu zinazotumika kuwakinga watumiaji na mimba zisizotarajiwa na magonjwa ikiwemo ya ngono. Tangu kuanza kwa matumizi ya nyenzo hiyo mamilioni ya watumiaji wamekuwa wakikingwa na hatari mbalimbali za kiafya na kuwafanya waendelee kuwa na afya njema. Licha ya umuhimu wa nyenzo hiyo, takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa hivi […]
Afya & Maisha · February 16, 2026 3:43 pm
Safari ya madhara ya pombe huanza punde tu unapomeza fundo la kwanza kinywani, hufyonzwa kuingia kwenye damu na baadae kwenye ubongo.
Afya & Maisha · February 4, 2026 5:06 pm
Mbali na Kuharisha kipindupindu pia kiliwatesa Watanzania mwaka 2025, visa 3,433 na vifo 26, sawa na asilimia 78.8 ya vifo vyote vikiripotiwa.
Afya & Maisha · January 28, 2026 4:45 pm
Takwimu za WHO zinakadiria kuwa mwaka 2024 takribani watoto milioni 35 walio chini ya umri wa miaka mitano duniani walikuwa na uzito uliopitiliza.