Afya & Maisha
Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi.
Afya & Maisha · June 23, 2026 3:24 pm
Ugunduzi huo unatarajiwa kuleta matumaini mapya katika kupambana na magonjwa ya kuambukiza
Afya & Maisha · June 20, 2026 2:40 pm
WHO inaeleza kuwa matumizi ya dawa za kuongeza mkazo wa mfuko wa uzazi mara baada ya kujifungua husaidia kupunguza hatari hiyo.
Afya & Maisha · June 17, 2026 2:42 pm
Katika ripoti hiyo Dar es Salaam ni mkoa wa kwanza miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa vifo vya akina mama nchini ikiwa na vifo 382 ndani ya kipindi hicho.
Afya & Maisha · June 10, 2026 2:40 pm
Kwa ujumla, usalama wa chakula si suala la uchaguzi binafsi pekee, bali ni jukumu la pamoja linalohitaji elimu, uangalizi na hatua madhubuti ili kulinda kizazi kijacho.
Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm
Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.
Afya & Maisha · May 19, 2026 5:03 pm
Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.
Afya & Maisha · May 18, 2026 8:45 pm
Serikali ya Tanzania imeimarisha ufuatiliaji wa wagonjwa wenye dalili zinazofanana na Ebola katika jamii na vituo vya kutolea huduma za afya nchini kote.
Afya & Maisha · May 15, 2026 10:26 am
Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.
Afya & Maisha · May 4, 2026 6:43 pm
Aidha, mwanaume mwingine mwenye umri wa miaka 69 raia wa Uingereza anaendelea kupatiwa matibabu katika ICU huku hali yake ikielezwa kuwa mbaya.
Afya & Maisha · May 4, 2026 12:31 pm
Pamoja na kuimarisha afya ya mama vyakula hivyo husaidia katika ukuaji wa ubongo, mifupa na mfumo wa kinga wa mtoto aliye tumboni.
Afya & Maisha · April 20, 2026 7:11 pm
Nukta habari inakuletea mbinu saba zitakazokuwezesha kuvumilia udhaifu wa mwenza wako katika ndoa.
Afya & Maisha · March 18, 2026 9:09 am
Omega -3 ni mafuta ambayo yanapatika kwenye vyakula kama samaki wa bahari, 0mega-6 (alizeti) na omega-9 (mzaituni na parachichi).
Afya & Maisha · February 24, 2026 5:50 pm
Uwezo wa kushika mimba unategemea ushirikiano wa mifumo kadhaa ya mwili wa mwanamke pamoja na ubora wa mbegu za mwanaume.
Afya & Maisha · February 20, 2026 5:34 pm
Ugonjwa huo wa kula umegawanyika katika makundi mbalimbali ikiwemo ‘binge eating disorder’ na ‘bulimia nervosa’, ambayo yote yanahusisha ulaji kupita kiasi.