Afya & Maisha

Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm

Marekani, Tanzania zasaini makubaliano afya ya $3.1 bilioni

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi. 

Afya & Maisha · June 23, 2026 3:24 pm

Akili unde: suluhisho jipya mapambano dhidi ya ebola, uviko 19

Ugunduzi huo unatarajiwa kuleta matumaini mapya katika kupambana na magonjwa ya kuambukiza

Afya & Maisha · June 20, 2026 2:40 pm

Mambo muhimu ya kuzingatia ili kuzuia vifo vya wajawazito 

WHO inaeleza kuwa matumizi ya dawa za kuongeza mkazo wa mfuko wa uzazi mara baada ya kujifungua husaidia kupunguza hatari hiyo. 

Afya & Maisha · June 17, 2026 2:42 pm

Dar es Salaam kinara kwa vifo vya mama wajawazito Tanzania

Katika ripoti hiyo Dar es Salaam ni mkoa wa kwanza miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa vifo vya akina mama nchini ikiwa na vifo 382 ndani ya kipindi hicho.

Afya & Maisha · June 10, 2026 2:40 pm

Watoto hatarini, chakula kisichokuwa salama

Kwa ujumla, usalama wa chakula si suala la uchaguzi binafsi pekee, bali ni jukumu la pamoja linalohitaji elimu, uangalizi na hatua madhubuti ili kulinda kizazi kijacho.

Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm

Fahamu madhara ya kutumia dawa hovyo wakati wa ujauzito

Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.

Afya & Maisha · May 19, 2026 5:03 pm

Tanzania yaanika afua 10 kudhibiti Ebola 

Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.

Afya & Maisha · May 18, 2026 8:45 pm

Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda

Serikali ya Tanzania imeimarisha ufuatiliaji wa wagonjwa wenye dalili zinazofanana na Ebola katika jamii na vituo vya kutolea huduma za afya nchini kote.

Afya & Maisha · May 15, 2026 10:26 am

Ufahamu ugonjwa wa hantavirus

Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Afya & Maisha · May 4, 2026 6:43 pm

Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii

Aidha, mwanaume mwingine mwenye umri wa miaka 69 raia wa Uingereza anaendelea kupatiwa matibabu katika ICU huku hali yake ikielezwa kuwa mbaya.

Afya & Maisha · May 4, 2026 12:31 pm

Zifahamu dhana potovu za ulaji wa vyakula kwa mama mjamzito 

Pamoja na kuimarisha afya ya mama vyakula hivyo husaidia katika ukuaji wa ubongo, mifupa na mfumo wa kinga wa mtoto aliye tumboni.

Afya & Maisha · April 20, 2026 7:11 pm

Jinsi ya kuvumilia udhaifu wa mwenza wako katika ndoa

Nukta habari inakuletea mbinu saba zitakazokuwezesha kuvumilia  udhaifu wa mwenza wako katika ndoa.

Afya & Maisha · March 18, 2026 9:09 am

Vyakula vya kuepuka kujilinda na ugonjwa ya figo

Omega -3 ni mafuta ambayo yanapatika kwenye vyakula kama samaki wa bahari, 0mega-6 (alizeti) na omega-9 (mzaituni na  parachichi).

Afya & Maisha · February 24, 2026 5:50 pm

Sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa mwanamke kupata ujauzito

Uwezo wa kushika mimba unategemea ushirikiano wa mifumo kadhaa ya mwili wa mwanamke pamoja na ubora wa mbegu za mwanaume.

Afya & Maisha · February 20, 2026 5:34 pm

Ufahamu wa ugonjwa wa kula kupita kiasi unaoathiri maelfu kimya kimya

Ugonjwa huo wa kula umegawanyika katika makundi mbalimbali ikiwemo ‘binge eating disorder’ na ‘bulimia nervosa’, ambayo yote yanahusisha ulaji kupita kiasi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV