Commodities
Commodities · October 4, 2024 8:00 pm
Bei ya maharage Dar es Salaam imepanda zaidi ya ile inayo patikana mkoani Kigoma ya sh150,000 kwa kila gunia la kilo 100 ikiwa ni zao jamii ya mikunde lenye wingi wa virutubisho vya Protini na wanga.
Commodities · September 27, 2024 6:15 pm
Bei ya ngano yazidi kupaa mkoani Lindi huku wakazi wa Songwe waendelea kuneemeka na bei ya mahindi baada ya zao hilo kuuzwa kwa Sh 38,000 kwa gunia la kilo 100. Ngano ni bidhaa muhimu sana katika maisha ya kila siku isitoshe kwa asilimia kubwa vitafunwa kama maandazi, chapati na sambusa hutegemea ngano katika upishi huo.