Habari

Habari · September 11, 2026 4:32 pm

Nini kitatokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu ?

Kuna makundi manne tu ya watu wenye kinga kisheria zinazowapa hiari ya kuitikia au kutokuitikia wito wa Mahakama wa kwenda kutoa ushahidi.

Habari · September 10, 2026 6:03 pm

Kwanini ni muhimu mwanamke wa Kiislam kukaa eda

Kwa kawaida kipindi hiki huchukua kwa muda wa miezi minne na siku 10 kwa mtu aliyefiwa na mume huku kwa mjamzito ikiwa tofauti.

Habari · September 7, 2026 6:10 pm

Matukio yaahirishwa, kifo cha mume wa Rais Samia

Matukio hayo ni uzinduzi rasmi wa Mji wa Serikali Mtumba pamoja na uzinduzi wa Ramani ya Utekelezaji ya Kinara wa Umoja wa Afrika katika Afya ya Uzazi, mama, mtoto mchanga, mtoto na vijana kwa mwaka 2026–2030.

Habari · September 3, 2026 5:48 pm

Waandishi Nukta Africa kuwania tuzo za Samia Kalamu 2025/26

Ni pamoja na Daniel Samson na Esau Ng’umbi.

Habari · September 2, 2026 4:01 pm

Wakuu wa mikoa wapewa rungu kuzuia machinga barabarani

Awataka kuwarudisha machinga katika masoko waliyopangiwa, kutatua kero.

Biashara · August 31, 2026 7:00 pm

TASAC yasitisha utoaji leseni za bandari kavu

Ni kwa lengo la kupunguza usumbufu unaowakabili wananchi wanaoishi jirani na maeneo hayo.

Habari · August 29, 2026 11:51 am

Zigo linalomsubiri Ndejembi Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania

Hatimaye Tanzania imepata Makamu wa Rais mpya, baada ya kuapishwa kwa Deogratius Ndejembi, leo Agosti 29, 2026 ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Habari · August 27, 2026 6:12 pm

Hatua zinazoweza kumrejesha Dk Nchimbi CCM

Mwenyekiti wa UVCCM, Mohamed Kawaida ameiambia Nukta Habari kuwa Dk Nchimbi anaweza kurejea CCM ikiwa ataiomba msamaha NEC.

Habari · August 27, 2026 4:18 pm

Serikali yajipanga kukabiliana na mvua za El Niño

Ni baada ya ya TMA kutangaza ujio wa mvua kubwa za El Niño kuanzia Septemba hadi Januari, 2027.

Habari · August 27, 2026 2:58 pm

Ni nani Makamu wa Rais wa Tanzania kwa sasa ?

Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) anasema kwa mujibu wa katiba ya Tanzania, Ibara ya 47, mtu hawezi kuwa kiongozi yeyote wa kisiasa kama hatoki kwenye chama cha siasa.

Habari · August 27, 2026 2:08 pm

Hii ndiyo maana ya Nchimbi ‘kufukuzwa’ uanachama CCM

Kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977, Toleo la Desemba 2022 kuna tofauti kati ya kufutwa uanachama na kufukuzwa uanachama.

Habari · August 27, 2026 2:02 pm

Simulizi ya Deogratius Ndejembi: Kada wa CCM aliyepaa kiuongozi

Anasubiri hatua muhimu ya kikatiba ya kupitishwa na Bunge ili ashike nafasi hiyo ya juu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Habari · August 26, 2026 11:40 pm

Deogratius Ndejembi apendekezwa kumrithi Nchimbi

Ni baada ya takribani saa 26 tangu Rais Samia aridhie kujiuzulu kwa Dk Nchimbi ambaye pia amefutwa uanachama wa CCM kuanzia leo Agosti 26, 2026.

Habari · August 26, 2026 7:39 pm

Haya hapa mafao ya Dk Nchimbi aking’atuka madarakani

Stahiki hizo ni kwa mujibu wa Sheria ya Mafao ya Kustaafu Katika Utumishi wa Kisiasa, (Sura ya 225).

Habari · August 26, 2026 4:29 pm

Kinachofuata baada ya Nchimbi kujiuzulu

Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania, Ibara ya 50(4), inasema iwapo nafasi ya Makamu wa Rais itakuwa wazi kwa sababu ya kifo ama kujiuzulu, Rais anatakiwa kumteua mtu mwingine kushika hiyo ndani ya siku 14. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Haya ndio maajabu ya iPhone Duo simu mpya kutoka Apple

Nukta TV

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Kitakachotokea IGP, CDF na DCI wasipofika mahakamani kesi ya Lissu

Nukta TV

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Jinsi waajiri wanavyokimbilia 'Interns' kukwepa ajira za kudumu

Nukta TV