Habari
Habari · August 22, 2026 3:09 pm
2025 JNHPP ilichangia asilimia 43.5 ya umeme wote ulioingizwa kwenye Gridi ya Taifa.
Habari · August 21, 2026 1:33 pm
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu na kesi ya kujibu katika mashtaka ya uhaini yanayomkabili, hatua itakayomfanya aendelee tena kusota mahabusu huku akijitetea kujinasua katika shtaka hilo. Uamuzi huo, uliotolewa na Jaji Dunstan Ndunguru kwa niaba ya majaji wenzie wawili, ni pigo kwa […]
Habari · July 30, 2026 11:26 am
Ni kuanzia Agosti 1, 2026, utatumika kushughulikia mizigo inayoingizwa na kutoka kupitia bandarini na mipakani.
Habari · July 22, 2026 6:55 pm
Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.
Afya & Maisha · July 22, 2026 2:58 pm
Ni pamoja na Passort ya Singapore, Japan, Finland, Denmark na New Zealand.
Afya & Maisha · July 17, 2026 6:37 pm
Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.
Habari · July 17, 2026 6:00 pm
Yashika nafasi ya tatu Afrika Mashariki, yaiweka Tanzania nafasi ya 131 kwenye ramani ya vyuo vikuu duniani.
Habari · July 15, 2026 4:36 pm
Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.
Habari · July 11, 2026 2:46 pm
Dirisha hilo la awamu ya kwanza litadumu kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Julai 10 hadi Agosti 10, 2026.
Habari · July 7, 2026 1:31 pm
Sehemu kubwa ya barabara jijini Dar es Salaam zina msongamano mdogo huku ulinzi ukiimarishwa kwenye makutano ya barabara kuu.
Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi.
Habari · June 19, 2026 4:59 pm
Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.
Habari · June 11, 2026 7:37 pm
Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.
Habari · June 11, 2026 6:55 pm
Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.
Biashara · June 11, 2026 5:19 pm
Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.