Chati & Data

Chati & Data · February 1, 2025 11:41 am

Simu za rununu bado zipo zipo Tanzania

Ueneaji wa vifaa hivyo umeongezeka kwa asilimia 2.8 ndani ya kipindi cha miezi mitatu iliyopita

Chati & Data · October 25, 2024 5:09 pm

Matumizi ya SMS yapungua kwa asilimia 3 Tanzania

Takwimu za mawasiliano za  robo ya mwaka unaoishia Septemba 2024 zinazotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinabainisha kuwa idadi ya ujumbe mfupi wa maneno uliotumwa ndani ya nchi ni bilioni 47.6.

Agriculture · August 13, 2024 1:03 pm

Bei ya ulezi haikamatiki mkoani Mbeya

Gunia la kilo 100 la ulezi linauzwa kwa bei ya juu katika mkoa wa Mbeya kwa Sh250,000, karibia mara 4 ya bei ya chini iliyorekodiwa Ruvuma ambayo ni Sh60,000 tu.

Chati & Data · July 9, 2024 1:47 pm

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani Mwanza kwa mara ya kwanza

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City mall jijini Mwanza.

Chati & Data · July 2, 2024 2:57 pm

Mwenendo wa viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kati ya Juni na Julai

Mwenendo wa viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania kati ya Juni na Julai 2024

Chati & Data · January 27, 2023 7:25 am

Ripoti: Watanzania 9 kati ya 10 wanatumia miguu kama nyenzo ya usafiri

Idadi ya wanaotumia miguu kama nyenzo ya usafiri imeongezeka kwa asilimia 0.6.
Ni kwa mujibu wa Utafiti wa Hali ya Kaya Tanzania (NPS) ya mwaka 2020-21.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV