Biashara
Biashara · September 2, 2026 6:30 pm
Wananchi wasema punguzo hilo halitakuwa na matokeo yoyote kwa sababu bado nauli na gharama za maisha zipo juu.
Biashara · September 2, 2026 10:06 am
Mabadiliko hayo yametokana na hatua mbalimbali ambazo Serikali imezichukua ili kuwa na bei himilivu za mafuta nchini.
Biashara · August 31, 2026 7:00 pm
Ni kwa lengo la kupunguza usumbufu unaowakabili wananchi wanaoishi jirani na maeneo hayo.
Biashara · August 24, 2026 12:47 pm
Uteuzi huo wa Mpungwe unaambatana na jukumu la kuendeleza ukuaji wa kampuni hiyo iliyoorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), hasa katika kuongeza thamani ya biashara na manufaa kwa wanahisa.
Biashara · August 15, 2026 3:41 pm
Mamilioni ya simu inamaanisha mamilioni ya ‘units’ zinazofanya kazi ndani ya uchumi wetu wa kidijitali ambapo kwamwekezaji, hilo ni soko.
Biashara · August 14, 2026 3:08 pm
Kabla ya kuteuliwa kuwa bosi wa juu wa BOA Tanzania, Yassine alikuwa ni sehemu ya uongozi wa benki hiyo akihudumu kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji anayesimamia biashara kwa kipindi cha miaka mitano kabla ya kutangazwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa BOA Uganda mwaka 2024.
Biashara · August 10, 2026 2:31 pm
Mwekezaji yeyote asiye mkazi anaweza kushiriki katika dhamana za Serikali za muda mfupi na muda mrefu zinazotolewa na Serikali ya Tanzania.
Biashara · August 8, 2026 2:43 pm
Wachambuzi wa uchumi wanasema kuongezeka kwa vituo hivyo ni fursa kwa wafanyabiashara na makampuni yanayojihusisisha na biashara hiyo.
Biashara · August 6, 2026 5:10 pm
Pamoja na maboresho hayo, ni muhimu kwa taasisi za kifedha kuwa na mifumo mbadala ya utoaji huduma ili kuhakikisha huduma zinaendelea kutolewa hata pale mfumo mkuu unapokuwa katika matengenezo au unapokumbwa na changamoto za kiufundi.
Biashara · August 5, 2026 9:17 am
Bei ya petroli imepungua kwa Sh92 kwa lita, dizeli kwa Sh204 kwa lita, huku mafuta ya taa yakishuka kwa Sh440 kwa lita ikilinganishwa na viwango vya mwezi uliopita.
Biashara · August 4, 2026 12:43 pm
Hisa humfanya mnunuaji kuwa sehemu ya umiliki wa kampuni, hati fungani humfanya mwekezaji kuwa mkopeshaji kwa Serikali au taasisi.
Biashara · August 3, 2026 4:44 pm
If you are yet to register here are some key reasons why you should attend the two events at Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds in Dar es Salaam from 2nd to 3rd September, 2026.
Biashara · July 29, 2026 1:33 pm
Ikiwa gawio hilo litapitishwa itakuwa ni sawa na ongezeko la asilimia 23.8 ikilinganishwa na gawio la Sh20.20 lililotangazwa mwaka 2025.
Biashara · July 27, 2026 10:02 am
Takwimu zinaonyesha ATM zilipungua kutoka 2,209 mwaka 2023 hadi 2,174 mwaka 2024, kabla ya kushuka zaidi hadi 1,981 mwaka 2025, ikiwa ni upungufu wa ATM 228 ndani ya miaka miwili, sawa na zaidi ya asilimia 10.
Biashara · July 24, 2026 5:57 pm
Faida hiyo ni mara tano zaidi kulinganisha na faida ya Sh8.5 bilioni iliyokusanywa katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.