Biashara
Biashara · July 20, 2026 11:38 am
Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.
Biashara · July 18, 2026 1:37 pm
Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.
Biashara · July 17, 2026 12:06 pm
Ni vipande kutoka uwanja wa New York New Jersey nchini Marekani, kipande kikubwa zaidi kuuzwa Sh8 milioni.
Biashara · July 16, 2026 4:52 pm
Shirika la chakula duniani (FAO) linaeleza kuwa nyama ya bukini ina kiwango kikubwa cha protini pamoja na madini muhimu kama chuma na zinki.
Biashara · July 15, 2026 3:22 pm
Dar es Salaam. Katika biashara ya kuku, kasi, ubora na ufanisi ni mambo yanayoamua mafanikio. Kila dakika inayookolewa katika uzalishaji inaweza kuongeza maokoto. Kwa miaka mingi, wafugaji na baadhi ya wachinjaji wamekuwa wakinyonyoa kuku kwa mikono njia inayotumia muda mwingi, nguvu kazi na gharama zaidi. Lakini sasa itakuaje kama nikikuambia kuwa unaweza kunyonyoa kuku watatu […]
Biashara · July 14, 2026 9:30 am
Dola ya Marekani imeendelea kuuzwa na kununuliwa kwa bei sawa na jana huku sarafu nyingine zikionyesha mabadadiliko madogo.
Biashara · July 10, 2026 12:46 pm
Ni pamoja na kufanya utafiti, kuwa na nidhamu kuweka mipaka na kukubali kujifunza.
Biashara · July 9, 2026 11:47 am
Hii ni baada ya kupaa na kufikia asilimia 4.2 mwezi Mei, kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitatu
Biashara · July 4, 2026 3:18 pm
Ni sawa na asilimia 105.24 ya lengo kulinganisha na lengo la Sh36.07 lililokusudiwa kukusanywa.
Biashara · July 3, 2026 1:09 pm
Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.
Biashara · July 1, 2026 7:13 am
Bei za mafuta katika soko la hapa nchini zinashuka kwa Shilingi 96 kwa lita ya petroli, Shilingi 151 kwa lita ya dizeli na Shilingi 242 kwa lita ya mafuta ya taa
Biashara · June 30, 2026 4:38 pm
Angalia hali ya kipato chako, usikope kufanya anasa, nidhamu ya fedha ni muhimu. Mkopo wenye riba nafuu na unaorejeshwa kwa muda mrefu ndio rafiki.
Biashara · June 29, 2026 2:35 pm
Ukiwa na kiasi kidogo cha sarafu hizo unaweza kupata Dola nyingi zaidi.
Biashara · June 27, 2026 1:04 pm
Matumizi yakizidi hudhoofisha nguvu ya ununuzi kwa shilingi na kuchochea mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi
Biashara · June 19, 2026 6:02 pm
AmCham Tanzania ni chama cha wafanyabiashara na wawekezaji kinacholenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Marekani.