Biashara
Biashara · July 3, 2026 1:09 pm
Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.
Biashara · July 1, 2026 7:13 am
Bei za mafuta katika soko la hapa nchini zinashuka kwa Shilingi 96 kwa lita ya petroli, Shilingi 151 kwa lita ya dizeli na Shilingi 242 kwa lita ya mafuta ya taa
Biashara · June 30, 2026 4:38 pm
Angalia hali ya kipato chako, usikope kufanya anasa, nidhamu ya fedha ni muhimu. Mkopo wenye riba nafuu na unaorejeshwa kwa muda mrefu ndio rafiki.
Biashara · June 29, 2026 2:35 pm
Ukiwa na kiasi kidogo cha sarafu hizo unaweza kupata Dola nyingi zaidi.
Biashara · June 27, 2026 1:04 pm
Matumizi yakizidi hudhoofisha nguvu ya ununuzi kwa shilingi na kuchochea mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi
Biashara · June 19, 2026 6:02 pm
AmCham Tanzania ni chama cha wafanyabiashara na wawekezaji kinacholenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Marekani.
Biashara · June 11, 2026 5:19 pm
Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.
Biashara · June 11, 2026 8:00 am
IoT is a digital technology that connects electronic devices through the internet, enabling them to communicate, collect information and take action in real time.
Biashara · June 10, 2026 6:23 pm
Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo.
Biashara · June 10, 2026 5:27 pm
Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.
Biashara · June 10, 2026 8:19 am
IoT ni huduma ya kidijitali inayounganisha vifaa vya kielektroniki kupitia intaneti na kuviwezesha kuwasiliana, kukusanya taarifa na kuchukua hatua kwa papo hapo
Biashara · June 9, 2026 4:57 pm
Ni mfumo unaotajariwa kupunguza ucheleweshaji wa miamala na tofauti za viwango vya ubadilishaji kati ya taasisi mbalimbali za fedha.
Biashara · June 9, 2026 4:00 pm
Kiwango cha mfumko wa bei cha Mei 2026 ndio kiwango cha juu zaidi kwa miaka mitatu iliyopita.
Biashara · June 8, 2026 4:15 pm
Watanzania sasa wataweza kuweka fedha kwenye akaunti zao za PayPal na kutoa fedha kutoka PayPal moja kwa moja kwenda M-Pesa.
Biashara · June 3, 2026 1:31 am
Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.