Biashara

Biashara · July 20, 2026 11:38 am

Zaidi ya mawasiliano: Vodacom inavyochochea mustakabali wa kidijitali Tanzania

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Biashara · July 18, 2026 1:37 pm

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.

Biashara · July 17, 2026 12:06 pm

FIFA kuuza kipande cha nyasi uwanja wa fainali Kombe la Dunia kwa Sh1 milioni

Ni vipande kutoka uwanja wa New York New Jersey nchini Marekani, kipande kikubwa zaidi kuuzwa Sh8 milioni.

Biashara · July 16, 2026 4:52 pm

Mfahamu ‘African Goose’ bata mwenye kilo 14 anayeuzwa Sh2 milioni

Shirika la chakula duniani (FAO) linaeleza kuwa nyama ya bukini ina kiwango kikubwa cha protini pamoja na madini muhimu kama chuma na zinki. 

Biashara · July 15, 2026 3:22 pm

Ifahamu mashine inayonyoyoa kuku watatu kwa dakika moja

Dar es Salaam. Katika biashara ya kuku, kasi, ubora na ufanisi ni mambo yanayoamua mafanikio. Kila dakika inayookolewa katika uzalishaji inaweza kuongeza maokoto. Kwa miaka mingi, wafugaji na  baadhi ya wachinjaji wamekuwa wakinyonyoa kuku kwa mikono njia inayotumia muda mwingi, nguvu kazi na gharama zaidi.  Lakini sasa itakuaje kama nikikuambia kuwa unaweza kunyonyoa kuku watatu […]

Biashara · July 14, 2026 9:30 am

Soko la fedha za kigeni tulivu Julai 14

Dola ya Marekani imeendelea kuuzwa na kununuliwa kwa bei sawa na jana huku sarafu nyingine zikionyesha mabadadiliko madogo.

Biashara · July 10, 2026 12:46 pm

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara

Ni pamoja na kufanya utafiti, kuwa na nidhamu kuweka mipaka na kukubali kujifunza.

Biashara · July 9, 2026 11:47 am

Mfumuko wa bei Tanzania wapungua kwa 0.2% Juni 2026

Hii ni baada ya kupaa na kufikia asilimia 4.2 mwezi Mei, kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitatu

Biashara · July 4, 2026 3:18 pm

TRA yavuka lengo ikikusanya Sh37.96 trilioni 2025/26

Ni sawa na asilimia 105.24 ya lengo kulinganisha na lengo la Sh36.07 lililokusudiwa kukusanywa.

Biashara · July 3, 2026 1:09 pm

Juu zaidi: BoT yapandisha riba ya benki kuu hadi 6.25%

Kiwango kipya kilichopangwa na MPC ni cha juu tangu mfumo mpya wa kudhibiti mfumuko wa bei uanze kutumika zaidi ya miaka miwili iliyopita.

Biashara · July 1, 2026 7:13 am

Ahueni bei ya petroli, dizeli mafuta ya taa ikishuka

Bei za mafuta katika soko la hapa nchini zinashuka kwa Shilingi 96 kwa lita ya petroli, Shilingi 151 kwa lita ya dizeli na Shilingi 242 kwa lita ya mafuta ya taa

Biashara · June 30, 2026 4:38 pm

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuchukua mkopo 

Angalia hali ya kipato chako, usikope kufanya anasa, nidhamu ya fedha ni muhimu. Mkopo wenye riba nafuu na unaorejeshwa kwa muda mrefu ndio rafiki.

Biashara · June 29, 2026 2:35 pm

Sarafu 5 zenye nguvu zaidi duniani

Ukiwa na kiasi kidogo cha sarafu hizo unaweza kupata Dola nyingi zaidi. 

Biashara · June 27, 2026 1:04 pm

Matumizi ya Dola miamala ya ndani yanavyoweza kuathiri uchumi wa Tanzania

Matumizi yakizidi hudhoofisha nguvu ya ununuzi kwa shilingi na kuchochea mfumuko wa bei katika uchumi wa nchi

Biashara · June 19, 2026 6:02 pm

Michelle Kilpin wa TBL achaguliwa Bodi ya AmCham Tanzania

AmCham Tanzania ni chama cha wafanyabiashara na wawekezaji kinacholenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Marekani.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV

Kozi nzuri za kusoma chuo kikuu Tanzania

Kozi nzuri za kusoma chuo kikuu Tanzania

Nukta TV

Prof. Mbalawa, Waziri Misri wavutana, makubaliano ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Prof. Mbalawa, Waziri Misri wavutana, makubaliano ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Nukta TV