Uncategorized
News · May 4, 2026 3:27 pm
Wizara pia imejipanga kuratibu na kusimamia matamasha, shughuli na matukio makubwa ya kitaifa na kimataifa yanayohusiana na habari, utamaduni, sanaa na michezo.
Habari · March 12, 2026 4:49 pm
Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo
Currencies · February 2, 2026 10:58 am
Fedha nyingine kutoka mataifa mengine duniani zimeendelea kuimarika au kushuka kama inavyoonekana ikiashiria mabadiliko ya nguvu ya Shilingi ya Tanzania.
Habari · January 19, 2026 7:47 pm
Nukta habari imefanya uchambuzi wa mambo matatu yanayomsubiri kiongozi huyo ikiwa ataapishwa rasmi na kuwa Rais wa Uganda.
Safari · January 12, 2026 1:34 pm
Shirika la World Population Review limeitaja Tanzania kuwa na simba 14,500 idadi inayoifanya kuwa kinara wa idadi kubwa ya Simba barani Afrika.
News · December 12, 2025 12:40 pm
Ratiba ya Bunge yaonesha mwili wa marehemu utawasili Itega, Dodoma Desemba 12, 2025 na maombolezo ya msiba yataendelea nyumbani.
Habari · November 17, 2025 6:54 pm
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri watakaoratibu shughuli za Serikali katika miaka mitano ijayo akiwatema mawaziri nane waliohudumu katika baraza la mawaziri lililopita. Rais Samia ametangaza majina hayo ya baraza jipya leo Novemba 17, 2025 alipokuwa akizungumza na wanahabari Chamwino Dodoma ikiwa ni muendelezo wa kupanga safu mpya ya awamu ya pili […]
Habari · October 27, 2025 4:34 pm
Uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, wamejitokeza watatu wakivunja rekodi tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe 1992.
Uncategorized · October 24, 2025 3:05 pm
Tume imefafanua kuwa uteuzi mpya hautahusisha mgombea mwingine yeyote aliyeteuliwa kihalali katika uteuzi uliofanyika awali.
News · October 15, 2025 3:47 pm
Ni baada ya Mahakama Kuu kuondoa shauri kwa kukubali hoja za upande wa Serikali kuhusu uwezo wa Mahakama kusikiliza mashauri yanayohusiana na maamuzi ya INEC.
News · September 24, 2025 2:55 pm
Siku moja tangu kuripotiwa tukio la mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni ya mume wake, Serikali imeunda tume ya wataalamu kuchunguza madai hayo ili haki itendeke.
News · September 20, 2025 2:01 pm
Wananchi pamoja na viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha wameshiriki zoezi la usafi katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya usafi wa mazingira duniani.
News · September 18, 2025 5:21 pm
Dar es Salaam. Serikali imezindua Mkakati wa Muda wa Kati wa Ukusanyaji Mapato wa miaka mitatu (2025/2026 – 2027/2028) unaolenga kuongeza mapato ya ndani, kupunguza nakisi ya bajeti na kujenga bajeti endelevu itakayoiwezesha Serikali kugharamia huduma muhimu kwa wananchi bila utegemezi wa misaada kutoka nje. Iwapo mkakati huo ukitekelezwa kwa ufanisi huenda ukaimarisha upatikanaji wa […]
News · August 18, 2025 3:28 pm
Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Franco Kiswaga ameamuru kesi ya jinai namba 8607/2025 inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutorushwa mubashara hadi pale itakapotangazwa vinginevyo.
News · July 18, 2025 3:47 pm
Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewafungia watangazaji wanne wa kituo cha redio cha Mjini FM baada ya kubainika kukiuka maadili ya taaluma ya habari na Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229 (Toleo la 2023). Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa JAB Patrick Kipangula, leo Julai 18, 2025 […]