Uncategorized
Currencies · June 22, 2026 9:47 am
Rupia ya India, Shilingi ya kenya zimeonyesha kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Juni 22, 2026 ikilinganishwa na viwango vya Alhamisi, Juni 18, 2026, huku sarafu kubwa za kimataifa zikishuka.
Habari · June 19, 2026 4:59 pm
Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.
Uncategorized · June 11, 2026 4:49 pm
Hatua hiyo inatarajiwa kulinda viwanda vya ndani.
Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm
Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.
News · May 4, 2026 3:27 pm
Wizara pia imejipanga kuratibu na kusimamia matamasha, shughuli na matukio makubwa ya kitaifa na kimataifa yanayohusiana na habari, utamaduni, sanaa na michezo.
Habari · March 12, 2026 4:49 pm
Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo
Currencies · February 2, 2026 10:58 am
Fedha nyingine kutoka mataifa mengine duniani zimeendelea kuimarika au kushuka kama inavyoonekana ikiashiria mabadiliko ya nguvu ya Shilingi ya Tanzania.
Habari · January 19, 2026 7:47 pm
Nukta habari imefanya uchambuzi wa mambo matatu yanayomsubiri kiongozi huyo ikiwa ataapishwa rasmi na kuwa Rais wa Uganda.
Safari · January 12, 2026 1:34 pm
Shirika la World Population Review limeitaja Tanzania kuwa na simba 14,500 idadi inayoifanya kuwa kinara wa idadi kubwa ya Simba barani Afrika.
News · December 12, 2025 12:40 pm
Ratiba ya Bunge yaonesha mwili wa marehemu utawasili Itega, Dodoma Desemba 12, 2025 na maombolezo ya msiba yataendelea nyumbani.
Habari · November 17, 2025 6:54 pm
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri watakaoratibu shughuli za Serikali katika miaka mitano ijayo akiwatema mawaziri nane waliohudumu katika baraza la mawaziri lililopita. Rais Samia ametangaza majina hayo ya baraza jipya leo Novemba 17, 2025 alipokuwa akizungumza na wanahabari Chamwino Dodoma ikiwa ni muendelezo wa kupanga safu mpya ya awamu ya pili […]
Habari · October 27, 2025 4:34 pm
Uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, wamejitokeza watatu wakivunja rekodi tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe 1992.
Uncategorized · October 24, 2025 3:05 pm
Tume imefafanua kuwa uteuzi mpya hautahusisha mgombea mwingine yeyote aliyeteuliwa kihalali katika uteuzi uliofanyika awali.
News · October 15, 2025 3:47 pm
Ni baada ya Mahakama Kuu kuondoa shauri kwa kukubali hoja za upande wa Serikali kuhusu uwezo wa Mahakama kusikiliza mashauri yanayohusiana na maamuzi ya INEC.
News · September 24, 2025 2:55 pm
Siku moja tangu kuripotiwa tukio la mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni ya mume wake, Serikali imeunda tume ya wataalamu kuchunguza madai hayo ili haki itendeke.