Columnists · July 29, 2026 5:18 pm
A healthy workplace culture is not about free coffee or modern offices. It is about creating an environment where people are trusted, challenged, supported, and inspired to do meaningful work.
Biashara · July 29, 2026 1:33 pm
Ikiwa gawio hilo litapitishwa itakuwa ni sawa na ongezeko la asilimia 23.8 ikilinganishwa na gawio la Sh20.20 lililotangazwa mwaka 2025.
Currencies · July 29, 2026 9:01 am
Kwa kufanya hivyo, wanaweza kudhibiti changamoto za afya ya akili kabla hazijaathiri utendaji na maisha yao kwa ujumla.
Currencies · July 29, 2026 8:43 am
Hata hivyo, leo Julai 29, 2026, kiwango cha ununuzi kimepanda hadi Sh2,605, huku kiwango cha uuzaji kikifika Sh2,685.
News · July 28, 2026 5:05 pm
Kwa mujibu wa Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Eliud Eliakimu ugonjwa huo husababishwa na aina tano za virusi aina A, B, C, D na E.
Agriculture · July 28, 2026 2:07 pm
Ni baada ya soko la mazao ya mahindi, mchele, dengu na maharage ya soya kushuka kwa asilimia 70 ndani ya miaka mitano katika nchi hizo.
Mapishi · July 28, 2026 2:04 pm
Ni viazi vitamu vilivyokatwa vipande na kukaushwa ambavyo Wasukuma hutumia kama kifungua kinywa.
Mapishi · July 28, 2026 12:26 pm
“Yaani wakishua mnazingua sana! Ugali wa nazi tena? Hapa ni hasara tupu.”Sikubishana naye.
Ripoti Maalum · July 28, 2026 9:00 am
Asilimia 86.2 ya wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 15 na kuendelea nchini Tanzania wapo katika soko la ajira huku wanawake wakiwa asilimia 80.3.
Currencies · July 28, 2026 8:39 am
CRDB inanunua Dola kwa Sh2,600 na kuuza kwa Sh2,680, huku NMB nayo ikiwa na viwango hivyo hivyo vya Sh2,600 kwa ununuzi na Sh2,680 kwa uuzaji.
Infographics · July 27, 2026 2:47 pm
Kwa mtazamo wa kawaida, ATM inaweza kuonekana kama huduma rahisi kwa mteja lakini kwa benki, ATM ni moja ya miundombinu yenye gharama kubwa zaidi kuiendesha.
Biashara · July 27, 2026 10:02 am
Takwimu zinaonyesha ATM zilipungua kutoka 2,209 mwaka 2023 hadi 2,174 mwaka 2024, kabla ya kushuka zaidi hadi 1,981 mwaka 2025, ikiwa ni upungufu wa ATM 228 ndani ya miaka miwili, sawa na zaidi ya asilimia 10.
Currencies · July 27, 2026 8:45 am
NMB imefanya marekebisho madogo ya kuongeza bei ya Dola ya Marekani, CRDB imeendelea kudumisha utulivu wa viwango vyake.
Biashara · July 24, 2026 5:57 pm
Faida hiyo ni mara tano zaidi kulinganisha na faida ya Sh8.5 bilioni iliyokusanywa katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.
Biashara · July 24, 2026 11:02 am
Passengers will no longer need to carry cash when travelling. Instead, they will pay their fares using smart cards integrated with the Mixx digital payments platform.