All
Afya
Afya & Maisha
Afya Na Maisha
Agriculture
Biashara
Biashara
Burudani
Chati & Data
Columnists
Commodities
Consumer Price Index
Currencies
Debunking Stories
Education
Education Stories
Fuel Price
Gender
Global Market Data
Habari
Import And Export
Infographics
Infographics
Jiko Point
Maoni & Uchambuzi
Mapishi
Masoko
Matukio
Maujanja
News
Nishati Safi
Nuktafakti
Ripoti Maalum
Safari
Safari
Tech
Teknolojia
Telecom
Telecom
Uchaguzi
Uchunguzi
Uncategorized
Vinywaji

Currencies · August 18, 2026 9:59 am

Euro yaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Agosti 18, 2026

Kwa mtu anayekwenda kununua Euro leo, NMB inauza Euro kwa Sh3,196, ambayo ni Sh24.29 chini ya CRDB inayouza kwa Sh3,220.29.

Currencies · August 17, 2026 9:34 am

Euro yaendelea kuimarika dhidi ya shilingi ya Tanzania

Anayehitaji kununua Euro atalipa zaidi kupitia CRDB, ambako Euro moja inanunuliwa kwa Sh3,213.75, ikilinganishwa na Sh3,188 kwa NMB.

Biashara · August 15, 2026 3:41 pm

Tanzania inavyoweza kunufaika na ongezeko la simu janja

Mamilioni ya simu inamaanisha mamilioni ya ‘units’ zinazofanya kazi ndani ya uchumi wetu wa kidijitali ambapo kwamwekezaji, hilo ni soko.

Biashara · August 14, 2026 3:08 pm

Samir Yassine ateuliwa CEO mpya BOA Tanzania

Kabla ya kuteuliwa kuwa bosi wa juu wa BOA Tanzania, Yassine alikuwa ni sehemu ya uongozi wa benki hiyo akihudumu kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji anayesimamia biashara kwa kipindi cha miaka mitano kabla ya kutangazwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa BOA Uganda mwaka 2024.

Currencies · August 14, 2026 9:14 am

Shilingi yaimarika dhidi ya Euro na Pauni yabaki tulivu dhidi ya dola 

Wanunuzi wa sarafu hizo wataendelea kununua sarafu hiyo kwa bei nafuu huku wauzaji wakinufaika kwa kupata kiasi kikubwa cha shilingi.

News · August 13, 2026 6:03 pm

Nukta AI, Pawa AI zaungana kuimarisha teknolojia ya lugha za Kiafrika

Afisa Maendeleo ya Biashara wa Nukta Africa, amesema ushirikiano huo utasaidia kampuni kuendeleza bidhaa zake.

Maoni & Uchambuzi · August 13, 2026 2:44 pm

The story that changed my career 

As I dug deeper into research, studied scientific publications and spent hours speaking with medical experts, the story began to grow.

Ripoti Maalum · August 13, 2026 11:03 am

Ufahamu bipolar: Ugonjwa wa hisia zinazobadilika

Kuna aina kuu mbili za ugonjwa wa ‘bipolar’, kulingana na muundo wa vipindi vya mania/kichaa, hypomania na unyogovu.

Tech · August 13, 2026 10:12 am

Matukio ya ulaghai mtandaoni yashuka kwa asilimia 25

Mtwara yavunja rekodi ya kuwa na matukio machache zaidi ikiwa na matukio 25

Currencies · August 13, 2026 8:57 am

Euro, Pound zaimarika Agosti 13, 2026

Wanunuzi wa sarafu hizo watalazimika kutumia kiasi kikubwa zaidi cha Shilingi huku wauzaji wakipata faida zaidi. 

Currencies · August 12, 2026 8:56 am

Shilingi ya Tanzania yaimarika dhidi ya Euro

Watumiaji wa sarafu hiyo watatumia gharama nafuu kulinganisha na mwanzo wa wiki.

Currencies · August 11, 2026 9:08 am

Soko la fedha za kigeni labaki tulivu Agosti 11,2026

Watumiaji wa dola wataendelea kununua na kuuza sarafu hiyo kwa bei sawa na jana katika benki za NMB na CRDB

News · August 10, 2026 3:06 pm

Matumizi ya intaneti Tanzania yapaa kwa asilimia 11.65

Ripoti hiyo imeonesha kuwa pamoja na ukuaji wa matumizi ya intaneti, usajili wa laini za simu umefikia milioni 117.

Biashara · August 10, 2026 2:31 pm

BoT yafungua soko la dhamana za Serikali kwa wawekezaji wa kigeni

Mwekezaji yeyote asiye mkazi anaweza kushiriki katika dhamana za Serikali za muda mfupi na muda mrefu zinazotolewa na Serikali ya Tanzania.

Uncategorized · August 10, 2026 9:08 am

Euro, Pound zaimarika dola yabaki tulivu Agosti 10, 2026

Watumiaji wa dola wataendelea kununua dola kwa bei sawa na wiki iliyopita.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Nukta TV

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV