

Fact Check · October 6, 2025 6:13 pm
Wataalamu wa lishe wanasema kuwa hakuna ukweli wowote na badala yake tango na asali vina virutubisho muhimu kwa afya ya mwili wa binadamu.

Fact Check · August 18, 2025 3:03 pm
Nukta Fakti imefanya uchunguzi na kubaini taarifa hiyo si ya kweli na picha iliyotumika kusambaza taarifa hiyo imetumika katika muktadha tofauti ili kupotosha.

Fact Check · August 15, 2025 6:52 pm
Taarifa zinazodai kuwa Wizara ya Afya imepunguza idadi ya vipimo vya Virusi vya Ukimwi kwa wajawazito kutoka mara tano hadi mara mbili. Taarifa hizo si za kweli.

Fact Check · July 25, 2025 11:55 am
Si kweli Boni Yai amemtuhumu Maria Sarungi kumshinikiza Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusaini kanuni za maadili za Uchaguzi.

Fact Check · July 22, 2025 5:20 pm
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefukuzwa uanachama na uongozi wa chama hicho.

Fact Check · July 14, 2025 4:30 pm
Picha ya screenshot inayodai kuonesha ujumbe uliotumwa kupitia akaunti rasmi ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwenye mtandao wa X (zamani Twitter).

Fact Check · July 2, 2025 1:00 pm
Taarifa hii ya upotoshaji imesambaa ikionekanama kama barua rasmi lililoandikwa na Chadema ikiwa na mhuri rasmi pamoja na sahihi ya Katibu Mkuu wa chama hicho.

Fact Check · June 10, 2025 12:11 pm
Taarifa hii ya upotoshaji imesambaa ikionekanama kama chapisho la Taarifa kwa Umma kutoka Chadema likiwa na nembo na sahihi ya Brebda Rupia.

Fact Check · May 21, 2025 6:12 pm
Habari hiyo imekuwa ikisambazwa katika majukwaa mbalimbali ya mitandaoni kama Facebook

Fact Check · May 3, 2025 4:40 pm
Waraka huo una kichwa cha habari: “WARAKA WA KICHUNGAJI KUSOMA KATIKA PAROKIA ZOTE, VIGANGO, NA JUMUIYA NDOGO NDOGO ZOTE NCHINI TANZANIA KWA WEEK 10 MFULULIZO.”

Fact Check · April 8, 2025 4:42 pm
Huenda umekutana na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, zikidai kuwa CHADEMA imemfuta uanachama mwanachama wake John Mrema.

Fact Check · February 6, 2025 11:44 am
Si kweli kuwa Bilionea na mfanyabiashara, Mohammed Dewji amezindua sarafu mpya ya kidijitali iitwayo Tanzania Coin ($Tanzania),

Fact Check · December 10, 2024 9:09 am
Katika baadhi ya tamaduni wanawake wenye makalio makubwa hutafsiriwa kama warembo zaidi, hali hiyo imesababisha kuwepo na msukumo wa baadhi ya wanawake kutaka kuongeza maumbile yao ili kuongeza mvuto. Msukumo huo umesababisha kuenea kwa taarifa potofu zinazoelezea mbinu za kuongeza makalio ambazo baada ya uchambuzi wa kina zimebainika kuwa si kweli. Mathalani, hivi karibuni kumekuwa […]

Fact Check · July 30, 2024 4:50 am
TMDA yakanusha uwezekano wa virusi kukaa kwenye dawa
Yawataka wananchi kujenga utaratibu wa kupata taarifa kwenye vyanzo sahihi kabla ya kusambaza.

Fact Check · July 26, 2024 4:36 am
Ni video ya tukio la kweli lililotokea mwaka 2022.
Tukio hilo lilitokea eneo la Bongoni katika mpaka wa Buguruni na Ilala, Dar es Salaam.