Awataka kushirikiana kwa pamoja kuleta maendeleo kwa wananchi.
Asema 4R za Rais Samia zitawasaidia katika kutatua na kusuluhisha migogoro ya wananchi kwa pamoja.
Wizara ya Madini imeliomba Bunge liidhinishe bajeti ya Sh213.98 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/25, ikiongezeka kwa mara ya tano mfululizo tangu mwaka 2020/21
Huenda timu ya Taifa ya Tanzania ikafanya vizuri katika ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inayotarajiwa kufanyika mwaka 2027 mara baada ya Serikali kuanisha mikakati ya kuinoa timu hiyo.