Jumamosi, Aprili 27, 2024
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Watanzania wana kila sababu ya kujivunia Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar kutokana na manufaa yaliyopatikana ikiwemo kukua kwa uchumi.
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini Tanzania zimesababisha vifo ya watu 155, majeruhi 236 huku kaya zaidi ya 51,000 zikiathirika.
Kukamilika kwa mradi huo kutaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi zinazochangia katika usalama wa nishati duniani.
Alijiteka ili kujipatia mtaji wa Sh5 milioni kutoka kwa ndugu na marafiki zake wakaribu.
Bajeti iliyoombwa kwa mwaka ujao wa fedha ni Sh1.88 trillioni kutoka Sh3 trilioni iliyoidhinishwa katika mwaka wa fedha 2023/24.
Ubomoaji huo umefanyika katika kiwanja namba 585 (PB) kitalu 'KK' kilichopo Nyakato jijini Mwanza.