Restoration of Lake Manyara Tilapia remains an uphill duty

Scientists and local and international conservationists have sounded the alarm that the Lake Manyara tilapia population is fading due to overfishing and pollution

Tamaduni zinavyodumaza vipaji wa wasichana mkoani Mwanza

Wakati juhudi mbalimbali zikiendelea kumkomboa msichana katika mila na tamaduni zisizofaa, baadhi ya jamii mkoani Mwanza bado zinawazuia watoto wa kike kushiriki michezo jambo linaloweza kuathiri vipaji na afya zao

Watoto wadogo katikati ya safari ya kuisaka elimu madarasa ya awali Tanzania

Kumekuwa na mjadala mpana kuhusu umri ambao mtoto anatakiwa aanze darasa la awali huku baadhi ya wazazi wakiwapeleka watoto wenye umri chini ya miaka mitatu na wengine wakipinga utaratibu huo.

Maumivu vifaa vya shule vyapanda bei Mwanza

Bei imeongezeka kwa Sh500 hadi 5,000 kutokana na vifaa. Wazazi walalamikia kulazimishwa na baadhi ya shule kulipia gharama za vifaa kwao kwa bei ya juu. Walimu watakiwa kuwapokea wanafunzi hata kama hawajakamilisha mahitaji husika.

How pottery boost women incomes in Iringa region

It enables them to build houses and send children to school.