

Fact Check · October 9, 2025 12:37 pm
Ni pamoja na kuvuga amani na utulivu wa nchi.

Fact Check · October 6, 2025 6:13 pm
Wataalamu wa lishe wanasema kuwa hakuna ukweli wowote na badala yake tango na asali vina virutubisho muhimu kwa afya ya mwili wa binadamu.

Fact Check · October 4, 2025 3:07 pm
“Hakuna uhusiano wowote ule kwamba kitovu kikimuangukia mtoto anakosa hisia…wazee wetu wa zamani ili mama awe makini, walikuwa wanasema hivyo,” Dk Mapunda.

Fact Check · September 26, 2025 2:40 pm
Zana hizo ni pamoja na ‘FotoForensics’ na ‘Fake Image Detector’.

Fact Check · September 17, 2025 2:48 pm
Ni pamoja na kuripoti kwa mamlaka husika au kuwasiliana na wathibisha habari.

Fact Check · September 10, 2025 3:46 pm
Ni pamoja na majukwaa ya kigitali ya mtandaoni na vyombo vya habari visivyo rasmi.

Fact Check · September 3, 2025 11:23 am
Ni pamoja na kusikiliza matangazo na habari kutoka mamlaka husika.

Fact Check · August 18, 2025 3:03 pm
Nukta Fakti imefanya uchunguzi na kubaini taarifa hiyo si ya kweli na picha iliyotumika kusambaza taarifa hiyo imetumika katika muktadha tofauti ili kupotosha.

Fact Check · August 15, 2025 6:52 pm
Taarifa zinazodai kuwa Wizara ya Afya imepunguza idadi ya vipimo vya Virusi vya Ukimwi kwa wajawazito kutoka mara tano hadi mara mbili. Taarifa hizo si za kweli.

Fact Check · August 13, 2025 6:38 pm
Ukiwa kama Mwananchi mwenye kiu na taarifa sahihi zenye ukweli wa kina ni muhimu kufahamu wapi unapoweza kupata taarifa za uchaguzi

Fact Check · August 7, 2025 5:13 pm
Jumla ya wapiga kura 37,655,559 wamesajiliwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu. Kati yao wanaume ni milioni 18,712,104 huku wanawake wakiwa milioni 18,943,455.

Fact Check · July 25, 2025 11:55 am
Si kweli Boni Yai amemtuhumu Maria Sarungi kumshinikiza Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche kusaini kanuni za maadili za Uchaguzi.

Fact Check · July 22, 2025 5:20 pm
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefukuzwa uanachama na uongozi wa chama hicho.

Fact Check · July 14, 2025 4:30 pm
Picha ya screenshot inayodai kuonesha ujumbe uliotumwa kupitia akaunti rasmi ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwenye mtandao wa X (zamani Twitter).

Fact Check · July 2, 2025 1:00 pm
Taarifa hii ya upotoshaji imesambaa ikionekanama kama barua rasmi lililoandikwa na Chadema ikiwa na mhuri rasmi pamoja na sahihi ya Katibu Mkuu wa chama hicho.