Mbinu za kuthibitisha habari bila intaneti

September 3, 2025 11:23 am · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kusikiliza matangazo na habari kutoka mamlaka husika.

Arusha. Kuna namna nyingi za kuthibitisha habari zinazoweza kukusaidia kubaini ukweli hususani wakati huu tunapoelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajia kufanyika Octoba 29 mwaka huu.

Miongoni mwa namna hizo zipo ambazo hazihitaji matumizi ya intaneti zinazoweza kufanywa na wananchi wa kawaida wasiokuwa na simu janja au kompyuta ikiwemo kusikiliza matangazo na habari kutoka mamlaka husika.

Mbinu nyingine ni  kuwahoji wataalamu au mashuhuda kupata taarifa za uhakika hasa zinazohusu uchaguzi, kusoma nyaraka au takwimu za mamlaka rasmi za Serikali au taasisi binafsi.

Pamoja na hizo, unaweza kusoma magazeti na majarida yenye vyanzo vya uhakika vya taarifa. Pamoja na hibitisha kwa kwenda eneo husika na kufanya uchunguzi wa moja kwa moja.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Nukta TV

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Nukta TV

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.