Ufanye nini ukikutana na habari za uzushi mtandaoni

September 17, 2025 2:48 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuripoti kwa mamlaka husika au kuwasiliana na wathibitisha habari.

Arusha. Taarifa za uzushi zimetapakaa kila mahali hususani katika mitandao ya kijamii ambayo watumiaji wake wanazidi kuongezeka nchini Tanzania.

Ukiwa miongoni mwa watumiaji wa mitando hiyo zipo hatua hadhaa za kuchukua unapokutana na taarifa za uzushi kutoka katika chanzo chochote kupitia mitando ya kijamii.

Hatua hizo ni pamoja na  kutokuisambaza kwa watu wengine, kwa kufanya hivyo utakua umeokoa maisha ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaweza pia kuripoti taarifa hiyo kwa kwa mamlaka husika ili kukusaidia kuthibitisha na kuweka wazi ukweli wa habari husika ya uchaguzi au ukawasiliana na wathibitisha habari walio karibu yako.

Hata baada ya kufanya hayo usisahau kuithibitisha taarifa hiyo mwenyewe kwa kuangalia vyanzo vingine vya habari ili kujiridhisha.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

Nukta TV

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

Nukta TV

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.