Ufanye nini ukikutana na habari za uzushi mtandaoni

September 17, 2025 2:48 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuripoti kwa mamlaka husika au kuwasiliana na wathibitisha habari.

Arusha. Taarifa za uzushi zimetapakaa kila mahali hususani katika mitandao ya kijamii ambayo watumiaji wake wanazidi kuongezeka nchini Tanzania.

Ukiwa miongoni mwa watumiaji wa mitando hiyo zipo hatua hadhaa za kuchukua unapokutana na taarifa za uzushi kutoka katika chanzo chochote kupitia mitando ya kijamii.

Hatua hizo ni pamoja na  kutokuisambaza kwa watu wengine, kwa kufanya hivyo utakua umeokoa maisha ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaweza pia kuripoti taarifa hiyo kwa kwa mamlaka husika ili kukusaidia kuthibitisha na kuweka wazi ukweli wa habari husika ya uchaguzi au ukawasiliana na wathibitisha habari walio karibu yako.

Hata baada ya kufanya hayo usisahau kuithibitisha taarifa hiyo mwenyewe kwa kuangalia vyanzo vingine vya habari ili kujiridhisha.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV