Ufanye nini ukikutana na habari za uzushi mtandaoni

September 17, 2025 2:48 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuripoti kwa mamlaka husika au kuwasiliana na wathibitisha habari.

Arusha. Taarifa za uzushi zimetapakaa kila mahali hususani katika mitandao ya kijamii ambayo watumiaji wake wanazidi kuongezeka nchini Tanzania.

Ukiwa miongoni mwa watumiaji wa mitando hiyo zipo hatua hadhaa za kuchukua unapokutana na taarifa za uzushi kutoka katika chanzo chochote kupitia mitando ya kijamii.

Hatua hizo ni pamoja na  kutokuisambaza kwa watu wengine, kwa kufanya hivyo utakua umeokoa maisha ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaweza pia kuripoti taarifa hiyo kwa kwa mamlaka husika ili kukusaidia kuthibitisha na kuweka wazi ukweli wa habari husika ya uchaguzi au ukawasiliana na wathibitisha habari walio karibu yako.

Hata baada ya kufanya hayo usisahau kuithibitisha taarifa hiyo mwenyewe kwa kuangalia vyanzo vingine vya habari ili kujiridhisha.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
19 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
19 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Nukta TV

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Nukta TV

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Nukta TV