Ufanye nini ukikutana na habari za uzushi mtandaoni

September 17, 2025 2:48 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuripoti kwa mamlaka husika au kuwasiliana na wathibitisha habari.

Arusha. Taarifa za uzushi zimetapakaa kila mahali hususani katika mitandao ya kijamii ambayo watumiaji wake wanazidi kuongezeka nchini Tanzania.

Ukiwa miongoni mwa watumiaji wa mitando hiyo zipo hatua hadhaa za kuchukua unapokutana na taarifa za uzushi kutoka katika chanzo chochote kupitia mitando ya kijamii.

Hatua hizo ni pamoja na  kutokuisambaza kwa watu wengine, kwa kufanya hivyo utakua umeokoa maisha ya ndugu, jamaa na marafiki.

Unaweza pia kuripoti taarifa hiyo kwa kwa mamlaka husika ili kukusaidia kuthibitisha na kuweka wazi ukweli wa habari husika ya uchaguzi au ukawasiliana na wathibitisha habari walio karibu yako.

Hata baada ya kufanya hayo usisahau kuithibitisha taarifa hiyo mwenyewe kwa kuangalia vyanzo vingine vya habari ili kujiridhisha.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU CHAMWINO, DODOMA

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU CHAMWINO, DODOMA

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU CHAMWINO, DODOMA

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE, IKULU CHAMWINO, DODOMA

Nukta TV

🔴LIVE: WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 23

🔴LIVE: WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 23

Nukta TV