Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia

October 9, 2025 12:37 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuvuga amani na utulivu wa nchi.

Arusha. Wakati zikisalia siku 20 kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025 jamiii imeshauriwa kujihadhari na habari za uzushi zinazoweza kuathiri zoezi hilo la kidemokrasia.

Miongoni mwa athari zinazoweza kusababishwa na habari hizo za uzushi kuhusu uchaguzi ni wapiga kura kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuchagua viongozi pamoja na Kuvuruga amani na utulivu wa nchi.

Athari nyingine ni kupunguza imani ya wananchi kwa taasisi zinazosimamia uchagu kujenga na kusambaza chuki, hofu na mgawanyiko wa watu kwenye jamii, kuharibu heshima na uaminifu wa wagombea kwa wapiga kura na kusababisha mwitikio mdogo wa watu siku ya kupiga kura

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
30 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Vodacom Tanzania yapendekeza gawio la Sh23.91 kwa hisa 2026

Vodacom Tanzania yapendekeza gawio la Sh23.91 kwa hisa 2026

Nukta TV

Fursa kwa wakulima, uhitaji mazao ya chakula ukiongezeka Kenya, Uganda

Fursa kwa wakulima, uhitaji mazao ya chakula ukiongezeka Kenya, Uganda

Nukta TV

Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Nukta TV