Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia
October 9, 2025 12:37 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kuvuga amani na utulivu wa nchi.
Arusha. Wakati zikisalia siku 20 kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025 jamiii imeshauriwa kujihadhari na habari za uzushi zinazoweza kuathiri zoezi hilo la kidemokrasia.
Miongoni mwa athari zinazoweza kusababishwa na habari hizo za uzushi kuhusu uchaguzi ni wapiga kura kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuchagua viongozi pamoja na Kuvuruga amani na utulivu wa nchi.
Athari nyingine ni kupunguza imani ya wananchi kwa taasisi zinazosimamia uchagu kujenga na kusambaza chuki, hofu na mgawanyiko wa watu kwenye jamii, kuharibu heshima na uaminifu wa wagombea kwa wapiga kura na kusababisha mwitikio mdogo wa watu siku ya kupiga kura

Latest
13 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Meli za mafuta ya ndani kupewa kipaumbele Tanzania
15 hours ago
·
Fatuma Hussein
Gharama, elimu ya kidigitali vikwazo vya ukuaji wa ‘Fintech’ Tanzania
22 hours ago
·
Waandishi Wetu
Building new talents in media amid uncertainties in Tanzania
23 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu William Lukuvi: Mbunge wa Tanzania kwa zaidi ya miaka 30