Fahamu sehemu sahihi za kupata taarifa za uchaguzi
August 13, 2025 6:38 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kufuatilia tovuti rasmi za chama na Serikali
Arusha. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani ni kawaida kukutana na habari za kila aina nyingine zikiwa za kweli huku nyingine zikipotoshwa.
Ukiwa kama Mwananchi mwenye kiu na taarifa sahihi zenye ukweli wa kina ni lazima kufahamu wapi unapoweza kupata taarifa hizo ikiwemo katika tovuti rasmi za Serikali, vyama vya siasa, kurasa za kijamii za viongozi au vyama vya siasa pamoja na kusoma ilani za uchaguzi na machapisho mbalimbali ya kisiasa.
Kumbuka kuwa hata taarifa zilizopo katika sehemu hizo zinaweza kupotoshwa hivyo ni vyema kuthibitisha habari wakati wote.

Latest
4 days ago
·
Waandishi Wetu
Mamilioni kuamua hatma ya Tanzania Uchaguzi Mkuu 2025 leo
5 days ago
·
Mwandishi
Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo
5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Kishindo cha wanawake majimboni 2025