Fahamu sehemu sahihi za kupata taarifa za uchaguzi
August 13, 2025 6:38 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kufuatilia tovuti rasmi za chama na Serikali
Arusha. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani ni kawaida kukutana na habari za kila aina nyingine zikiwa za kweli huku nyingine zikipotoshwa.
Ukiwa kama Mwananchi mwenye kiu na taarifa sahihi zenye ukweli wa kina ni lazima kufahamu wapi unapoweza kupata taarifa hizo ikiwemo katika tovuti rasmi za Serikali, vyama vya siasa, kurasa za kijamii za viongozi au vyama vya siasa pamoja na kusoma ilani za uchaguzi na machapisho mbalimbali ya kisiasa.
Kumbuka kuwa hata taarifa zilizopo katika sehemu hizo zinaweza kupotoshwa hivyo ni vyema kuthibitisha habari wakati wote.

Latest
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mwigulu alaani vitendo vvya uvunjifu wa amani
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Disemba 9
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Balozi 16 za EU zalaani yaliyotokea Oktoba 29
14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Malaria bado ni tishio duniani, maambukizi yaongezeka