Fahamu sehemu sahihi za kupata taarifa za uchaguzi
August 13, 2025 6:38 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kufuatilia tovuti rasmi za chama na Serikali
Arusha. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani ni kawaida kukutana na habari za kila aina nyingine zikiwa za kweli huku nyingine zikipotoshwa.
Ukiwa kama Mwananchi mwenye kiu na taarifa sahihi zenye ukweli wa kina ni lazima kufahamu wapi unapoweza kupata taarifa hizo ikiwemo katika tovuti rasmi za Serikali, vyama vya siasa, kurasa za kijamii za viongozi au vyama vya siasa pamoja na kusoma ilani za uchaguzi na machapisho mbalimbali ya kisiasa.
Kumbuka kuwa hata taarifa zilizopo katika sehemu hizo zinaweza kupotoshwa hivyo ni vyema kuthibitisha habari wakati wote.

Latest
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia kushiriki mkutano AU, Tanzania ikimaliza muda wake Baraza la Amani
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Februari 12, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia
2 days ago
·
Lucy Samson
Rais Samia ateua wanne kuwa wenyeviti wa bodi