Fahamu sehemu sahihi za kupata taarifa za uchaguzi
August 13, 2025 6:38 pm ·
Lucy Samson
- Ni pamoja na kufuatilia tovuti rasmi za chama na Serikali
Arusha. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani ni kawaida kukutana na habari za kila aina nyingine zikiwa za kweli huku nyingine zikipotoshwa.
Ukiwa kama Mwananchi mwenye kiu na taarifa sahihi zenye ukweli wa kina ni lazima kufahamu wapi unapoweza kupata taarifa hizo ikiwemo katika tovuti rasmi za Serikali, vyama vya siasa, kurasa za kijamii za viongozi au vyama vya siasa pamoja na kusoma ilani za uchaguzi na machapisho mbalimbali ya kisiasa.
Kumbuka kuwa hata taarifa zilizopo katika sehemu hizo zinaweza kupotoshwa hivyo ni vyema kuthibitisha habari wakati wote.

Latest
13 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Meli za mafuta ya ndani kupewa kipaumbele Tanzania
15 hours ago
·
Fatuma Hussein
Gharama, elimu ya kidigitali vikwazo vya ukuaji wa ‘Fintech’ Tanzania
22 hours ago
·
Waandishi Wetu
Building new talents in media amid uncertainties in Tanzania
23 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu William Lukuvi: Mbunge wa Tanzania kwa zaidi ya miaka 30