Fahamu maeneo 3 yanayozalisha habari za uzushi mtandaoni

September 10, 2025 3:46 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na majukwaa ya kigitali ya mtandaoni na vyombo vya habari visivyo rasmi.

Arusha. Mitandao ni miongoni mwa nyezo za upashanaji habari zinazotumiwa na watu wengi maeneo mbalimbali duniani ikiwemo nchini Tanzania.

Takwimu mpya za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zilizotolewa hivi karibuni zinaonesha kuwa kufikia Juni, 2025 idadi ya watumiaji wa intaneti nchini imefikia milioni 54.1 ikiongezeka kutoka milioni 49.3 mwishoni mwa mwezi Machi, 2025.

Kuongezeka kwa watumiaji hawa hufanya majukwaa ya mtandaoni kuwa katika hatari ya kupokea taarifa za uzushi kutoka makundi mbalimbali ya watu yenye nia tofauti.

Miongoni mwa maeneo unayoweza kukutana na taarifa hizi za uzushi ni pamoja na mitandao ya kijamii, vyombo vya habari visivyo rasmi au blogu zisizosajiliwa na vyanzo visivyo halali vya kisiasa au watu binafsi wanaochochea propaganda.

Kumbuka kuthibitisha kila habari unayoiona mtandaoni ili uwe salama na wale wanaokuzunguka

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Nukta TV

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Nukta TV

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.