Afya
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii
Published 23 hours ago
Aidha, mwanaume mwingine mwenye umri wa miaka 69 raia wa Uingereza anaendelea kupatiwa matibabu katika ICU huku hali yake ikielezwa kuwa mbaya.
By Fatuma Hussein
News
Wizara ya Habari yaomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh525.32 bilioni mwaka wa fedha 2026/27
By Fatuma Hussein
1 day ago
Do you have you own story?
Write to us and we can publish it to the world.
Telecom
Fursa, watumiaji wa intaneti Tanzania wakifikia milioni 58.1
Published 1 day ago
Takwimu hizo zinaonyesha kuwa hadi kufikia Desemba 2025 watumiaji wa intaneti walifikia milioni 58.1 kutoka watumiaji 56.3 waliokuwepo Septemba 2025.
N
By Fatuma Hussein
Subscribe to our channel
Nukta TV
Gundua Zaidi
News
Rais Kagame kufanya ziara ya kikazi Tanzania kesho
Published 3 days ago
Katika ziara hiyo, Rais Kagame atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Tanzania Samia Suluhu Hassan. Mazungumzo yao yataangazia masuala ya ushirikiano kati...
By Fatuma Hussein
Follow us on TikTok
Nukta Habari
Loading TikTok...
Chambuzi na Makala
Uncategorized
Rais Samia: Vijana 7,593 wamepata ajira nje ya nchi
Published 4 days ago
Ili kuendelea kufungua fursa nyingi zaidi za ajira nje ya nchi Rais Samia amesema Serikali yake itaendelea kuratibu fursa hizo ili zilete tija kwa...
By Fatuma Hussein
Habari
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
By Kelvin Makwinya
1 week ago
SUBSCRIBE TO
Nukta NEWSLETTER
Stay ahead of the market with in-depth, data-driven news analysis to inform better decisions.
CONTRIBUTE TO
Nukta
Are you a content creator? Start contributing to Nukta Habari to spread your ideas in Tanzania and across the world.
BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
News
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini
Published 1 week ago
Kwa wiki kadhaa sasa, kumekuwa na mjadala mkali mtandaoni kufuatia kusambaa kwa video zinazoonesha watu wanaodaiwa kuwa raia wa Afrika kusini wakiwashambulia...
N
By Fatuma Hussein
Currencies
Viwango vya fedha za kigeni vyabaki tulivu, baadhi ya sarafu zapanda kidogo Aprili 28
Published 1 week ago
Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika viwango vilevile vya kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 katika benki zote mbili.
By Kelvin Makwinya
Habari
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
Published 1 week ago
Ni kwa lengo la kuimarisha uelewa na matumizi ya teknolojia za kisasa katika tasnia ya habari, pamoja na kukuza uwezo wa uandishi wa habari...
By Kelvin Makwinya
News
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
By Fatuma Hussein
1 week ago
Currencies
Soko la fedha za kigeni laendelea kuonyesha utulivu Tanzania
By Kelvin Makwinya
1 week ago