Dola ya Marekani yaimarika kwa Sh5 NMB, CRDB yabaki tulivu

July 29, 2026 8:43 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Hii inamaanisha kuwa wanunuaji wa dola kupitia benki ya NMB watalazilima kutoboa mfuko zaidi kulinganisha na jana.

Dar es Salaam. Dola ya Marekani (USD) imeimarika kwa Sh5 katika Benki ya NMB, huku ikiendelea kudumisha viwango vyake bila mabadiliko katika benki ya CRDB.

Kwa mujibu wa takwimu za viwango vya ubadilishaji fedha vinaonesha leo Julai 29, 2026 Dola ya Marekani imenunuliwa kwa Sh2,600 na kuuzwa kwa Sh2,680 katika benki ya CRDB, viwango sawa na jana. 

Kwa upande wa Benki ya NMB, Dola ya Marekani imeonesha ongezeko la Sh5 huku kiwango cha bei ya kununua kikifika Sh2,605 na Sh2,685 kwa bei ya kuuza.

Hii inamaanisha kuwa wanunuaji wa dola kupitia benki ya NMB watalazilima kutoboa mfuko zaidi kulinganisha na jana.

Hata hivyo, kwa wateja watakao uza dola kupitia benki hiyo ongezeko hilo ni manufaa kutunisha mifuko kwa kupata kiasi kikubwa zaidi cha Shilingi ya Tanzania.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV