Safari
Safari · May 29, 2026 12:56 pm
Wanaitwa ‘The Big Five’ kutokana na ugumu na hatari zao kuwawinda kwa miguu.
Safari · December 5, 2025 12:35 pm
Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2025 za Shirika la World Population Review. Ifuatayo ni orodha ya nchi tano zenye idadi kubwa ya simba Afrika.
Safari · September 17, 2025 4:50 pm
Hifadhi ya fedha za kigeni ikiwemo Dola za Marekani imeendelea kuongezeka nchini, kutokana na kuongezeka kwa shughuli za utalii katika maeneo mbalimbali nchini.
Safari · July 14, 2025 6:50 pm
Ni nyoka mwenye uwezo wa kukimbia kwa kasi ya kilomita 20 kwa saa, anaweza kufikia urefu wa hadi futi 12, na sumu yake huua ndani ya dakika 20.
Safari · January 28, 2025 6:16 pm
Kulingana na makadirio ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2023/24, utalii pekee unachangia asilimia 25 ya mapato ya fedha za kigeni, huku misitu na nyuki zikichangia asilimia 5.9.
Safari · December 24, 2024 3:46 pm
Dar es Salaam. Mwisho wa mwaka ni kipindi maalum ambacho wengi hutumia kujivinjari na kupumzika baada ya shughuli nyingi za mwaka mzima. Kwa wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani na visiwa vya Zanzibar yapo baadhi ya maeneo ambayo unaweza kuyatumia kupumzika na kutuliza akili. Maeneo hayo yana vivutio vya kipekee ambavyo vimekuwa […]
Safari · September 20, 2024 5:39 pm
Visiwa hivyo ni pamoja na kisiwa cha Greenland, Honshu, Bornea na Sumatra.
Safari · September 6, 2024 4:48 pm
Ni pamoja na Mlima Puncak Jaya, Vinscon Massif pamoja na Mlima Kilimanjaro.
Safari · August 20, 2024 6:05 pm
Dar es Salaam. Afrika ni miongoni mwa mabara yaliyobarikiwa vivutio vya utalii lukuki vinavyopendezesha na kuongeza mvuto katika nchi vilivyopo. Vivutio hivi hufanya mamilioni ya watalii kutoka pande zote za dunia kutembelea bara la Afrika kila mwaka hususani katika kipindi hiki ambacho hatari dhidi ya janga la Uviko 19 imepungua katika nchi nyingi duniani. Shirika […]
Safari · July 31, 2024 4:50 am
Ni pamoja na kupunguza hewa ya ukaa na kuchochea ongezeko la samaki.
Safari · June 3, 2024 5:34 am
Mapato yatokanayo na shughuli za utalii wa kimataifa yameongezeka kwa asilimia 161 kipindi cha miaka mitatu huku sababu zikitajwa kuwa ni kuimarishwa kwa miundombinu na mchango wa filamu ya ‘Royal Tour’.
Safari · May 11, 2024 6:33 am
Yafikia 520,324 katika kipindi cha Januari hadi Machi 2024
Safari · May 7, 2024 1:21 pm
Amteua Dk Elirehema Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi Ngorongoro.
Safari · March 10, 2024 12:24 pm
Yasema ubovu wa barabara ulikwamisha baadhi ya shughuli za utalii.
Safari · January 5, 2024 8:26 am
Ni hukumu ya makosa matano tofauti ambapo kila kosa ni miaka 20 jela.
Miongoni ni kukutwa na nyara za Serikali pamoja na silaha kinyume cha sheria.