Uncategorized

Uncategorized · August 10, 2026 9:08 am

Euro, Pound zaimarika dola yabaki tulivu Agosti 10, 2026

Watumiaji wa dola wataendelea kununua dola kwa bei sawa na wiki iliyopita.

Jiko Point · July 31, 2026 12:06 pm

Wanawake zaidi 123 wanufaika na elimu, teknolojia ya nishati safi Pwani

Wanawake hao wanatoka katika vikundi 56 vilivyopo katika Wilaya za Kibaha, Mkuranga na Kisarawe zilizopo mkoani humo. 

Uncategorized · July 9, 2026 4:23 pm

CCM, ACT-Wazalendo walivyotegua kitendawili cha maridhiano Zanzibar

Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo vimesaini tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa visiwani Zanzibar, hatua inayolenga kuimarisha ushirikiano wa kisiasa visiwani humo.  Tamko hilo limesainiwa katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Zanzibar leo Julai 9, 2026, ikishuhudiwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan,  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa […]

Currencies · June 22, 2026 9:47 am

Rupia ya India, Shilingi ya kenya yaimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania Juni 22

Rupia ya India, Shilingi ya kenya zimeonyesha kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Juni 22, 2026 ikilinganishwa na viwango vya Alhamisi, Juni 18, 2026, huku sarafu kubwa za kimataifa zikishuka.

Habari · June 19, 2026 4:59 pm

HESLB yafungua dirisha la maombi ya mikopo 2026/2027

Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.

Uncategorized · June 11, 2026 4:49 pm

Serikali yapendekeza kuondoa VAT nguo za pamba ya Tanzania

Hatua hiyo inatarajiwa kulinda viwanda vya ndani.

Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm

Fahamu madhara ya kutumia dawa hovyo wakati wa ujauzito

Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.

News · May 4, 2026 3:27 pm

Wizara ya Habari yaomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh525.32 bilioni mwaka wa fedha 2026/27

Wizara pia imejipanga kuratibu na kusimamia matamasha, shughuli na matukio makubwa ya kitaifa na kimataifa yanayohusiana na habari, utamaduni, sanaa na michezo.

Habari · March 12, 2026 4:49 pm

Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro

Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo

Currencies · February 2, 2026 10:58 am

Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 2, 2026

Fedha nyingine kutoka mataifa mengine duniani zimeendelea kuimarika au kushuka kama inavyoonekana ikiashiria mabadiliko ya nguvu ya Shilingi ya Tanzania.

Habari · January 19, 2026 7:47 pm

Mambo matatu yanayomsubiri Museveni Uganda

Nukta habari imefanya uchambuzi wa mambo matatu yanayomsubiri kiongozi huyo ikiwa ataapishwa rasmi na kuwa Rais wa Uganda.

Safari · January 12, 2026 1:34 pm

Tanzania kinara idadi ya Simba Afrika

Shirika la World Population Review limeitaja Tanzania kuwa na simba 14,500 idadi inayoifanya kuwa kinara wa idadi kubwa ya Simba barani Afrika.

News · December 12, 2025 12:40 pm

Jenista kuzikwa Desemba 16, mkoani Ruvuma

Ratiba ya Bunge yaonesha mwili wa marehemu utawasili Itega, Dodoma Desemba 12, 2025 na maombolezo ya msiba yataendelea nyumbani.

Habari · November 17, 2025 6:54 pm

Wafahamu wabunge 8 waliotemwa katika baraza la mawaziri Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza baraza jipya la mawaziri watakaoratibu shughuli za Serikali katika miaka mitano ijayo akiwatema mawaziri nane waliohudumu katika baraza la mawaziri lililopita. Rais Samia ametangaza majina hayo ya baraza jipya leo Novemba 17, 2025 alipokuwa akizungumza na wanahabari Chamwino Dodoma ikiwa ni muendelezo wa kupanga safu mpya ya awamu ya pili […]

Habari · October 27, 2025 4:34 pm

Safari ya wanawake kugombea urais inavyoimarika Tanzania

Uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, wamejitokeza watatu wakivunja rekodi tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe 1992.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Maboresho mifumo ya kibenki yanavyoweza kuathiri uchumi Tanzania

Nukta TV

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV