Serikali yapendekeza kuondoa VAT nguo za pamba ya Tanzania

June 11, 2026 4:49 pm · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania inapendekeza kusamehe kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye nguo na mavazi yanayozalishwa kwa kutumia pamba inayozalishwa ndani ya nchi (locally grown cotton) kwa lengo la kuhamasisha matumizi yake.

Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar amesema bungeni Dodoma leo kuwa pia wanapendekeza kuongeza ushuru wa forodha kutoka asilimia 25 hadi asilimia 35 au dola za Marekani 0.30 kwa mita ya kitambaa kutegemea kiwango kitakachokuwa kikubwa.

Hatua hizo za Serikali zinatokana na umuhimu wa mchango wa tasnia ya pamba, nguo na mavazi katika uchumi na kulinda viwanda vya ndani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
12 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
12 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV