Biashara

Biashara · May 22, 2026 5:36 pm

Biashara ya Tanzania na EAC yapaa kwa asilimia 8.9

Biashara kati ya Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.

Biashara · May 20, 2026 9:47 am

NMB Bank yatangaza gawio la Sh610 kwa hisa 2025

Kwa pamoja, kiwango hicho pendekezwa ni ongezeko la asilimia 42.2 kutoka gawio la Sh428.85 kwa kila hisa la mwaka 2024.

Biashara · May 18, 2026 9:07 pm

Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026

Mkutano huo unaotarajia kufanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania utawakutanisha washiriki zaidi ya 10,000 kutoka nchi zaidi ya 35.

Biashara · May 18, 2026 2:55 pm

Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo 

Suzuki Swift inaweza kutumia lita moja ya mafuta kwa wastani wa kilomita 18 hadi 23.

Biashara · May 18, 2026 10:06 am

NMB yaweka kibindoni $80 milioni kukuza utoaji mikopo Tanzania

NMB inatarajia kuongeza mtaji wa utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu kwa wakulima, wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs)

Biashara · May 14, 2026 5:15 pm

Kwa undani: Faida Vodacom Tanzania yapaa, M-Pesa, data kileleni

Faida baada ya kodi ya Vodacom yafikia Sh107.1 bilioni ikiwa ni kiwango cha juu kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka saba.

Biashara · May 12, 2026 5:14 pm

Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania

Huenda ongezeko hili limechochewa  na kupaa kwa bei ya mafuta duniani kunakotokana na vita vinavyoendelea kati ya Marekani, Israeli na Iran.

Biashara · April 27, 2026 4:27 pm

TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025

Gawio hilo limeshuka kwa asilimia 35 ikilinganishwa na gawio la awali la Sh818 kwa kila hisa lililotangazwa kwa mwaka ulioishia Desemba 31, 2024.

Biashara · April 25, 2026 4:08 pm

Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024

Uingereza ilisalia kuwa mwekezaji mkuu kwa mwaka wa tatu mfululizo ikimiliki asilimia 26.9 ya hisa zote za uwekezaji.

Biashara · April 24, 2026 5:55 pm

Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’ 

Maombi yote ya leseni yaliyowasilishwa kupitia mfumo wa TNBP kabla ya Aprili 19, 2026 yanapaswa kukamilishwa kupitia mfumo huo kabla ya Mei 1, 2026

Biashara · April 20, 2026 5:11 pm

Dola ya Marekani, Shilingi ya Tanzania hali tulivu

Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotolewa na Benki za CRDB na NMB kwa matumizi ya leo Aprili 20, 2026 vinaonesha hakuna mabadiliko yoyote ikilinganishwa na wiki iliyopita.

Biashara · April 15, 2026 6:01 pm

DSE yaongeza ukomo mabadiliko ya bei hisa za CRDB hadi 10%

Uongozi wa DSE umeongeza mara mbili wigo wa ukomo wa mabadiliko ya bei kwa hisa kwa siku kutoka asilimia 5 hadi 10 ndani ya siku tano za kazi.

Biashara · April 2, 2026 2:56 pm

Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa

Ni kwa lengo la kuboresha utoaji huduma kwa wateja na kukimbizana na kasi ya uchumi wa kidijitali.

Biashara · April 1, 2026 2:46 pm

BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati

Viashiria vya kiuchumi vinaonyesha kuwa vipo imara kiasi cha kutoathiriwa vibaya sana na  athari ya vita kati ya Marekani na Israel dhini ya Iran.

Biashara · April 1, 2026 3:50 am

Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania

Petroli inayopitia Bandari ya Dar es Salaam inauzwa kwa bei ya reja reja ya Sh 3,820 na dizeli ShSh3,806.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

Nukta TV

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

Nukta TV

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV