Habari

Habari · July 15, 2026 4:36 pm

Wanahabari watwishwa zigo kuhamasisha matumizi ya nishati safi Tanzania

Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.

Habari · July 11, 2026 2:46 pm

TCU yafungua dirisha udahili vyuo vikuu 2026/27, yaonya matapeli 

Dirisha hilo la awamu ya kwanza litadumu kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Julai 10 hadi Agosti 10, 2026.

Habari · July 7, 2026 1:31 pm

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Sehemu kubwa ya barabara jijini Dar es Salaam zina msongamano mdogo huku ulinzi ukiimarishwa kwenye makutano ya barabara kuu. 

Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm

Marekani, Tanzania zasaini makubaliano afya ya $3.1 bilioni

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi. 

Habari · June 19, 2026 4:59 pm

HESLB yafungua dirisha la maombi ya mikopo 2026/2027

Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.

Habari · June 11, 2026 7:37 pm

Ahueni, Serikali ikipunguza ada za huduma kwa ‘content creators’

Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.

Habari · June 11, 2026 6:55 pm

Magari ya umeme, gesi kupata ahueni zaidi bajeti 2026/27

Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.

Biashara · June 11, 2026 5:19 pm

Serikali yapendekeza kodi mpya kwenye kamari Tanzania

Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.

Habari · June 11, 2026 12:22 pm

Pato la Mtanzania laongezeka kwa Sh244,487 mwaka 2025

Sasa wastani wa pato la mtu mmoja mmoja Tanzania (GDP per capita) limefikia Sh3.5 milioni mwaka 2025

Habari · June 9, 2026 4:50 pm

Tanzania, Singapore zasaini makubaliano kuimarisha biashara na uwekezaji

Ni kufuatia ziara ya Rais wa Singapore nchini ambayo ni kwa mara ya kwanza tangu mataifa haya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia miaka 45 iliyopita.

Habari · June 4, 2026 12:39 pm

Brussels kufungua milango ya utalii, safari za ndege Tanzania

Ni baada ya kutua Tanzania tangu kusainiwa kwa mkataba Novemba 3, 2021

Habari · June 3, 2026 4:15 pm

Pato la Taifa kukua kwa wastani wa 6.3% mwaka 2026/27 Tanzania

Wizara ya fedha yaomba Sh21.1 trilioni ili kufikia azma hiyo na kutimiza vipaumbele 8 bajeti 2026/2027.

Habari · May 22, 2026 9:53 am

Mikoa 5 iliyoongoza kwa makosa ya usalama barabarani 2025

Licha ya kuwa ya kuwa mkoa ulioongoza kwa matukio, ilala imerekodi vifo vya watu 12, vifo vichache zaidi kuliganisha mikoa mingine.

Habari · April 28, 2026 4:20 pm

Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29

Yasema ushahidi uliokusanywa na tume ulitoka upande wa waathirika pekee na haukutoa fursa kusikiliza upande wa watuhumiwa.

Habari · April 27, 2026 5:09 pm

Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha

Ni kwa lengo la kuimarisha uelewa na matumizi ya teknolojia za kisasa katika tasnia ya habari, pamoja na kukuza uwezo wa uandishi wa habari za takwimu.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV