Habari
Habari · July 22, 2026 6:55 pm
Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.
Afya & Maisha · July 22, 2026 2:58 pm
Ni pamoja na Passort ya Singapore, Japan, Finland, Denmark na New Zealand.
Afya & Maisha · July 17, 2026 6:37 pm
Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.
Habari · July 17, 2026 6:00 pm
Yashika nafasi ya tatu Afrika Mashariki, yaiweka Tanzania nafasi ya 131 kwenye ramani ya vyuo vikuu duniani.
Habari · July 15, 2026 4:36 pm
Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.
Habari · July 11, 2026 2:46 pm
Dirisha hilo la awamu ya kwanza litadumu kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Julai 10 hadi Agosti 10, 2026.
Habari · July 7, 2026 1:31 pm
Sehemu kubwa ya barabara jijini Dar es Salaam zina msongamano mdogo huku ulinzi ukiimarishwa kwenye makutano ya barabara kuu.
Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi.
Habari · June 19, 2026 4:59 pm
Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.
Habari · June 11, 2026 7:37 pm
Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.
Habari · June 11, 2026 6:55 pm
Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.
Biashara · June 11, 2026 5:19 pm
Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.
Habari · June 11, 2026 12:22 pm
Sasa wastani wa pato la mtu mmoja mmoja Tanzania (GDP per capita) limefikia Sh3.5 milioni mwaka 2025
Habari · June 9, 2026 4:50 pm
Ni kufuatia ziara ya Rais wa Singapore nchini ambayo ni kwa mara ya kwanza tangu mataifa haya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia miaka 45 iliyopita.
Habari · June 4, 2026 12:39 pm
Ni baada ya kutua Tanzania tangu kusainiwa kwa mkataba Novemba 3, 2021