Habari

Habari · July 22, 2026 6:55 pm

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme. 

Afya & Maisha · July 22, 2026 2:58 pm

Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi Duniani

Ni pamoja na Passort ya Singapore, Japan, Finland, Denmark na New Zealand.

Afya & Maisha · July 17, 2026 6:37 pm

Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafikia 2,073, vifo 796 ndani ya miezi miwili DRC

Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

Habari · July 17, 2026 6:00 pm

UDSM yaingia 10 bora wahitimu kuajirika Afrika, yaiweka Tanzania kwenye ramani ya vyuo duniani 

Yashika nafasi ya tatu Afrika Mashariki, yaiweka Tanzania nafasi ya 131 kwenye ramani ya vyuo vikuu duniani.

Habari · July 15, 2026 4:36 pm

Wanahabari watwishwa zigo kuhamasisha matumizi ya nishati safi Tanzania

Ndani ya muda huo, matumizi ya nishati safi yamepaa na kufikia asilimia 28.6 ikisalia miaka nane katika utekelezaji wake.

Habari · July 11, 2026 2:46 pm

TCU yafungua dirisha udahili vyuo vikuu 2026/27, yaonya matapeli 

Dirisha hilo la awamu ya kwanza litadumu kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Julai 10 hadi Agosti 10, 2026.

Habari · July 7, 2026 1:31 pm

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Sehemu kubwa ya barabara jijini Dar es Salaam zina msongamano mdogo huku ulinzi ukiimarishwa kwenye makutano ya barabara kuu. 

Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm

Marekani, Tanzania zasaini makubaliano afya ya $3.1 bilioni

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi. 

Habari · June 19, 2026 4:59 pm

HESLB yafungua dirisha la maombi ya mikopo 2026/2027

Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi ndani ya siku 73 kabla ya Agosti 31, 2026.

Habari · June 11, 2026 7:37 pm

Ahueni, Serikali ikipunguza ada za huduma kwa ‘content creators’

Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.

Habari · June 11, 2026 6:55 pm

Magari ya umeme, gesi kupata ahueni zaidi bajeti 2026/27

Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.

Biashara · June 11, 2026 5:19 pm

Serikali yapendekeza kodi mpya kwenye kamari Tanzania

Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.

Habari · June 11, 2026 12:22 pm

Pato la Mtanzania laongezeka kwa Sh244,487 mwaka 2025

Sasa wastani wa pato la mtu mmoja mmoja Tanzania (GDP per capita) limefikia Sh3.5 milioni mwaka 2025

Habari · June 9, 2026 4:50 pm

Tanzania, Singapore zasaini makubaliano kuimarisha biashara na uwekezaji

Ni kufuatia ziara ya Rais wa Singapore nchini ambayo ni kwa mara ya kwanza tangu mataifa haya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia miaka 45 iliyopita.

Habari · June 4, 2026 12:39 pm

Brussels kufungua milango ya utalii, safari za ndege Tanzania

Ni baada ya kutua Tanzania tangu kusainiwa kwa mkataba Novemba 3, 2021

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV