Habari
Habari · June 11, 2026 7:37 pm
Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.
Habari · June 11, 2026 6:55 pm
Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.
Biashara · June 11, 2026 5:19 pm
Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.
Habari · June 11, 2026 12:22 pm
Sasa wastani wa pato la mtu mmoja mmoja Tanzania (GDP per capita) limefikia Sh3.5 milioni mwaka 2025
Habari · June 9, 2026 4:50 pm
Ni kufuatia ziara ya Rais wa Singapore nchini ambayo ni kwa mara ya kwanza tangu mataifa haya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia miaka 45 iliyopita.
Habari · June 4, 2026 12:39 pm
Ni baada ya kutua Tanzania tangu kusainiwa kwa mkataba Novemba 3, 2021
Habari · June 3, 2026 4:15 pm
Wizara ya fedha yaomba Sh21.1 trilioni ili kufikia azma hiyo na kutimiza vipaumbele 8 bajeti 2026/2027.
Habari · May 22, 2026 9:53 am
Licha ya kuwa ya kuwa mkoa ulioongoza kwa matukio, ilala imerekodi vifo vya watu 12, vifo vichache zaidi kuliganisha mikoa mingine.
Habari · April 28, 2026 4:20 pm
Yasema ushahidi uliokusanywa na tume ulitoka upande wa waathirika pekee na haukutoa fursa kusikiliza upande wa watuhumiwa.
Habari · April 27, 2026 5:09 pm
Ni kwa lengo la kuimarisha uelewa na matumizi ya teknolojia za kisasa katika tasnia ya habari, pamoja na kukuza uwezo wa uandishi wa habari za takwimu.
Habari · April 24, 2026 3:48 pm
Nukta AI itasaidia upatikanaji wa taarifa na takwimu kama vile bei za hisa, viwango vya kubadili fedha na bei za mazao.
Habari · March 24, 2026 3:30 pm
Wataalam wanasema mtu anaweza kukosa nafasi ya ajira kwa sababu ya anachopost kwenye mitandao ya kijamii, washauri kutumia mitandao kuonyesha ujuzi.
Habari · March 20, 2026 9:00 am
ILO inaeleza kuwa vijana wengi hukosa ajira si kwa sababu hawana uwezo, bali kwa kukosa ujuzi wa kujiwasilisha na kujiamini wakati wa mahojiano.
Habari · March 12, 2026 4:49 pm
Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo
Habari · January 19, 2026 7:47 pm
Nukta habari imefanya uchambuzi wa mambo matatu yanayomsubiri kiongozi huyo ikiwa ataapishwa rasmi na kuwa Rais wa Uganda.