Habari

Habari · June 11, 2026 7:37 pm

Ahueni, Serikali ikipunguza ada za huduma kwa ‘content creators’

Ada ya maombi ya leseni ya huduma za maudhui mtandaoni imepunguzwa kutoka Sh 50,000 hadi shilingi 10,000.

Habari · June 11, 2026 6:55 pm

Magari ya umeme, gesi kupata ahueni zaidi bajeti 2026/27

Ni baada ya Serikali kupendekeza punguzo la kodi kwenye bidhaa na vifaa vinavyohusiana na nishati hizo.

Biashara · June 11, 2026 5:19 pm

Serikali yapendekeza kodi mpya kwenye kamari Tanzania

Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.

Habari · June 11, 2026 12:22 pm

Pato la Mtanzania laongezeka kwa Sh244,487 mwaka 2025

Sasa wastani wa pato la mtu mmoja mmoja Tanzania (GDP per capita) limefikia Sh3.5 milioni mwaka 2025

Habari · June 9, 2026 4:50 pm

Tanzania, Singapore zasaini makubaliano kuimarisha biashara na uwekezaji

Ni kufuatia ziara ya Rais wa Singapore nchini ambayo ni kwa mara ya kwanza tangu mataifa haya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia miaka 45 iliyopita.

Habari · June 4, 2026 12:39 pm

Brussels kufungua milango ya utalii, safari za ndege Tanzania

Ni baada ya kutua Tanzania tangu kusainiwa kwa mkataba Novemba 3, 2021

Habari · June 3, 2026 4:15 pm

Pato la Taifa kukua kwa wastani wa 6.3% mwaka 2026/27 Tanzania

Wizara ya fedha yaomba Sh21.1 trilioni ili kufikia azma hiyo na kutimiza vipaumbele 8 bajeti 2026/2027.

Habari · May 22, 2026 9:53 am

Mikoa 5 iliyoongoza kwa makosa ya usalama barabarani 2025

Licha ya kuwa ya kuwa mkoa ulioongoza kwa matukio, ilala imerekodi vifo vya watu 12, vifo vichache zaidi kuliganisha mikoa mingine.

Habari · April 28, 2026 4:20 pm

Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29

Yasema ushahidi uliokusanywa na tume ulitoka upande wa waathirika pekee na haukutoa fursa kusikiliza upande wa watuhumiwa.

Habari · April 27, 2026 5:09 pm

Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha

Ni kwa lengo la kuimarisha uelewa na matumizi ya teknolojia za kisasa katika tasnia ya habari, pamoja na kukuza uwezo wa uandishi wa habari za takwimu.

Habari · April 24, 2026 3:48 pm

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari 

Nukta AI itasaidia upatikanaji wa taarifa na takwimu kama vile bei za hisa, viwango vya kubadili fedha na bei za mazao.

Habari · March 24, 2026 3:30 pm

Mitandao ya kijamii inavyoweza kuwa fursa au kikwazo cha kupata ajira

Wataalam wanasema mtu anaweza kukosa nafasi ya ajira kwa sababu ya anachopost kwenye mitandao ya kijamii, washauri kutumia mitandao kuonyesha ujuzi.

Habari · March 20, 2026 9:00 am

Mambo ya kuzingatia wakati, kabla na baada ya ‘Interview’

ILO inaeleza kuwa vijana wengi hukosa ajira si kwa sababu hawana uwezo, bali kwa kukosa ujuzi wa kujiwasilisha na kujiamini wakati wa mahojiano.

Habari · March 12, 2026 4:49 pm

Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro

Tume ya Rais ya kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro imetoa mapendekezo ya taratibu na sheria zitakazodhibiti matumizi mseto ya ardhi katika eneo hilo

Habari · January 19, 2026 7:47 pm

Mambo matatu yanayomsubiri Museveni Uganda

Nukta habari imefanya uchambuzi wa mambo matatu yanayomsubiri kiongozi huyo ikiwa ataapishwa rasmi na kuwa Rais wa Uganda.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV