Afya & Maisha

Afya & Maisha · July 22, 2026 2:58 pm

Hizi ndizo Passport 5 zenye nguvu zaidi Duniani

Ni pamoja na Passort ya Singapore, Japan, Finland, Denmark na New Zealand.

Afya & Maisha · July 21, 2026 1:01 pm

Brenda Msangi kung’atuka CCBRT Machi 2027

Brenda aliyeitumikia CCBRT kwa zaidi ya miaka 17 alikuwa Mtanzania na mwanamke wa kwanza kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Desemba 2018

Afya & Maisha · July 17, 2026 6:37 pm

Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafikia 2,073, vifo 796 ndani ya miezi miwili DRC

Mlipuko huo unakuwa wa tatu kwa ukubwa na wenye kasi kuliko mlipuko wowote katika historia ya Ebola.

Afya & Maisha · July 17, 2026 5:09 pm

Spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Wakati mataifa mengi yakitumia fedha nyingi kuuzalisha kwa teknolojia ya kisasa, Tanzania imebarikiwa kuwa na mazingira ya asili yanayoweza kuukuza.

Afya & Maisha · July 16, 2026 5:21 pm

‘Dozee’ inavyoleta mapinduzi sekta ya afya

Ni mfumo unaowekwa chini ya godoro kufuatilia viashiria muhimu vya mgonjwa kwa saa 24. 

Afya & Maisha · July 14, 2026 5:19 pm

Fahamu magonjwa matano yanayoua wengi duniani

Magonjwa sugu ya figo husababisha kati ya vifo milioni 1.5 na 1.6 kila mwaka duniani, huku idadi hiyo ikiendelea kuongezeka.

Afya & Maisha · July 2, 2026 4:19 pm

Marekani, Tanzania zasaini makubaliano afya ya $3.1 bilioni

Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imekataa kipengele cha kubadilisha sampuli za magonjwa ikieleza kuwa itajenga uwezo huo ndani ya nchi. 

Afya & Maisha · June 23, 2026 3:24 pm

Akili unde: suluhisho jipya mapambano dhidi ya ebola, uviko 19

Ugunduzi huo unatarajiwa kuleta matumaini mapya katika kupambana na magonjwa ya kuambukiza

Afya & Maisha · June 20, 2026 2:40 pm

Mambo muhimu ya kuzingatia ili kuzuia vifo vya wajawazito 

WHO inaeleza kuwa matumizi ya dawa za kuongeza mkazo wa mfuko wa uzazi mara baada ya kujifungua husaidia kupunguza hatari hiyo. 

Afya & Maisha · June 17, 2026 2:42 pm

Dar es Salaam kinara kwa vifo vya mama wajawazito Tanzania

Katika ripoti hiyo Dar es Salaam ni mkoa wa kwanza miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa vifo vya akina mama nchini ikiwa na vifo 382 ndani ya kipindi hicho.

Afya & Maisha · June 10, 2026 2:40 pm

Watoto hatarini, chakula kisichokuwa salama

Kwa ujumla, usalama wa chakula si suala la uchaguzi binafsi pekee, bali ni jukumu la pamoja linalohitaji elimu, uangalizi na hatua madhubuti ili kulinda kizazi kijacho.

Afya & Maisha · June 8, 2026 5:18 pm

Fahamu madhara ya kutumia dawa hovyo wakati wa ujauzito

Hali hii humfanya mama kuwa katika hatari ya kupata baadhi ya magonjwa kama ilivyo kwa watu wengine.

Afya & Maisha · May 19, 2026 5:03 pm

Tanzania yaanika afua 10 kudhibiti Ebola 

Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.

Afya & Maisha · May 18, 2026 8:45 pm

Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda

Serikali ya Tanzania imeimarisha ufuatiliaji wa wagonjwa wenye dalili zinazofanana na Ebola katika jamii na vituo vya kutolea huduma za afya nchini kote.

Afya & Maisha · May 15, 2026 10:26 am

Ufahamu ugonjwa wa hantavirus

Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Jinsi afya ya akili inavyowatesa wanawake makazini

Nukta TV

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV