Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi

March 2, 2026 6:07 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Tanga itakulazimu kulipia Sh140,000 ambayo ni mara 2 na nusu ya bei ya chini iliyorekodiwa mkoani Njombe ya Sh55,600 kwa gunia la kilo 100.

Wakati wakazi wa mkoa huo wakilia na bei hiyo, hali ni tofauti kwa wakazi wa mkoani wa Dar es Salaam ambao wananunua gunia la kilo 100 za viazi mbatata/ mviringo kwa Sh60,000 ambayo ni ahueni kwa mara 3 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh180,000.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV