Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi

March 2, 2026 6:07 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Tanga itakulazimu kulipia Sh140,000 ambayo ni mara 2 na nusu ya bei ya chini iliyorekodiwa mkoani Njombe ya Sh55,600 kwa gunia la kilo 100.

Wakati wakazi wa mkoa huo wakilia na bei hiyo, hali ni tofauti kwa wakazi wa mkoani wa Dar es Salaam ambao wananunua gunia la kilo 100 za viazi mbatata/ mviringo kwa Sh60,000 ambayo ni ahueni kwa mara 3 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh180,000.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV