Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi

March 2, 2026 6:07 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Tanga itakulazimu kulipia Sh140,000 ambayo ni mara 2 na nusu ya bei ya chini iliyorekodiwa mkoani Njombe ya Sh55,600 kwa gunia la kilo 100.

Wakati wakazi wa mkoa huo wakilia na bei hiyo, hali ni tofauti kwa wakazi wa mkoani wa Dar es Salaam ambao wananunua gunia la kilo 100 za viazi mbatata/ mviringo kwa Sh60,000 ambayo ni ahueni kwa mara 3 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh180,000.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: WABUNGE WAKICHANGIA BAJETI YA WAZIRI MKUU

🔴LIVE: WABUNGE WAKICHANGIA BAJETI YA WAZIRI MKUU

Nukta TV

🔴LIVE: WABUNGE WAKICHANGIA BAJETI YA WAZIRI MKUU

🔴LIVE: WABUNGE WAKICHANGIA BAJETI YA WAZIRI MKUU

Nukta TV

Yafahamu magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Yafahamu magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV