Tanga waendelea kutoboa mifuko bei ya mahindi
March 2, 2026 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Tanga itakulazimu kulipia Sh140,000 ambayo ni mara 2 na nusu ya bei ya chini iliyorekodiwa mkoani Njombe ya Sh55,600 kwa gunia la kilo 100.
Wakati wakazi wa mkoa huo wakilia na bei hiyo, hali ni tofauti kwa wakazi wa mkoani wa Dar es Salaam ambao wananunua gunia la kilo 100 za viazi mbatata/ mviringo kwa Sh60,000 ambayo ni ahueni kwa mara 3 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh180,000.

Latest
5 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
6 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo