Dar es Salaam waendelea kufurahia bei ya mahindi
October 28, 2024 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Dar es Salaam itakulazimu kulipia Sh50,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh120,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mkoa huo ukifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imenga’ngania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest
16 hours ago
·
Lucy Samson
BoT yatangaza nafasi za ajira 83
17 hours ago
·
Waandishi Wetu
Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 12, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu