Dar es Salaam waendelea kufurahia bei ya mahindi
October 28, 2024 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Dar es Salaam itakulazimu kulipia Sh50,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh120,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mkoa huo ukifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imenga’ngania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti
4 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya fedha za kigeni vyabaki tulivu, baadhi ya sarafu zapanda kidogo Aprili 28