Dar es Salaam waendelea kufurahia bei ya mahindi
October 28, 2024 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Dar es Salaam itakulazimu kulipia Sh50,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh120,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mkoa huo ukifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imenga’ngania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

4 days ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

4 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

4 days ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis