Dar es Salaam waendelea kufurahia bei ya mahindi
October 28, 2024 6:07 pm ·
Fatuma Hussein
Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Dar es Salaam itakulazimu kulipia Sh50,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Tanga ya Sh120,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mkoa huo ukifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imenga’ngania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest

13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Sh1.61 trilioni kutekeleza vipaumbele 10 wizara ya afya Tanzania

16 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Lissu kuendelea kusota rumande, uchunguzi uhaini ukiendelea

4 days ago
·
Esau Ng'umbi
CCM yaahidi kutengeneza ajira milioni 8 ifikapo 2030

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26