Maeneo yanayotakiwa kupewa kipaumbele kuepuka Corona
November 25, 2020 7:07 am ·
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Utaratibu wa kusafisha sehemu zinazofikiwa na watu wengi kwa kutumia dawa maalum ya kuua wadudu ni muhimu ili kuwakinga watu na maambukizi ya COVID-19.
Baadhi ya maeneo yanayotakiwa kusafishwa zaidi ni yale yanayowakutanisha watu kutoka katika maeneo tofauti.Â
Kufahamu sehemu hizo kiundani zaidi, tazama video hii.