Jinsi ya kujikinga na Corona unapokua safarini

November 18, 2020 3:12 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama una mpango wa kusafiri siku za hivi karibuni nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali  za kibiashara au kikazi, yapo mambo ya msingi ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Miongoni mwa mambo hayo ni kuhakikisha umepima na kupata cheti kitakachithibitisha kuwa hauna maambukizi ya COVID-19 ili kuepuka usumbufu usio wa lazima ukiwa safarini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV