Jinsi ya kujikinga na Corona unapokua safarini

November 18, 2020 3:12 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama una mpango wa kusafiri siku za hivi karibuni nje ya nchi kwa ajili ya shughuli mbalimbali  za kibiashara au kikazi, yapo mambo ya msingi ya kuzingatia ili kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Miongoni mwa mambo hayo ni kuhakikisha umepima na kupata cheti kitakachithibitisha kuwa hauna maambukizi ya COVID-19 ili kuepuka usumbufu usio wa lazima ukiwa safarini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV