Jinsi ya kujikinga na Corona unaposheherekea Krismasi

December 24, 2021 10:26 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Chagua sehemu ambayo ina uwazi wa kutosha.
  • Zingatia kwenda sehemu inayoheshimu tahadhari za Corona.
  • Kama hakuna ulazima, sherehekea nyumbani na familia yako.

Dar es Salaam. Msimu wa sikukuu ni msimu wa furaha. Amani inaanza na kuwaona ndugu, familia kuunganika na wazazi kuwa nyumbani baada ya kufanya kazi kwa mwaka mzima. 

Hivyo ni kati ya vitu vinavyoleta tabasamu kwa watoto, ndugu na wazazi nyumbani.

Hata hivyo, inapofika siku ya sikukuu huenda wazazi na walezi wakawa na njiapanda ya sehemu ya kwenda kujivinjari iwe ni kwa ajili ya kupata chakula cha mchana na hata kutembea tu baada ya mlo wa nyumbani.

Unapotaka kufanya maamuzi ya sehemu ya kwenda, ni vyema kuzingatia baadhi ya vitu ili kuilinda familia yako na ugonjwa wa Corona ambao bado unasumbua sehemu mbalimbali duniani.

Kati ya vitu vya kuzingatia ni kuchagua sehemu ya wazi na inayozingatia tahadhari dhidi ya Corona. 

Uzingatie nini kingine? Mambo yote kwenye video hii.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV