Jinsi ya kujikinga na Corona unaposheherekea Krismasi

December 24, 2021 10:26 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Chagua sehemu ambayo ina uwazi wa kutosha.
  • Zingatia kwenda sehemu inayoheshimu tahadhari za Corona.
  • Kama hakuna ulazima, sherehekea nyumbani na familia yako.

Dar es Salaam. Msimu wa sikukuu ni msimu wa furaha. Amani inaanza na kuwaona ndugu, familia kuunganika na wazazi kuwa nyumbani baada ya kufanya kazi kwa mwaka mzima. 

Hivyo ni kati ya vitu vinavyoleta tabasamu kwa watoto, ndugu na wazazi nyumbani.

Hata hivyo, inapofika siku ya sikukuu huenda wazazi na walezi wakawa na njiapanda ya sehemu ya kwenda kujivinjari iwe ni kwa ajili ya kupata chakula cha mchana na hata kutembea tu baada ya mlo wa nyumbani.

Unapotaka kufanya maamuzi ya sehemu ya kwenda, ni vyema kuzingatia baadhi ya vitu ili kuilinda familia yako na ugonjwa wa Corona ambao bado unasumbua sehemu mbalimbali duniani.

Kati ya vitu vya kuzingatia ni kuchagua sehemu ya wazi na inayozingatia tahadhari dhidi ya Corona. 

Uzingatie nini kingine? Mambo yote kwenye video hii.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV