Unavyoweza kuepuka maambukizi ya Corona kupitia barakoa

March 25, 2021 2:40 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuzingatia kanuni muhimu za matumizi ya  barakoa ikiwemo namna ya kuzitupa na kuzihifadhi.

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali wa afya likiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO) wameshauri  matumizi sahihi ya barakoa kama njia ya kujikinga na maambukizi ya Corona pale unapokuwa katika maeneno yaliyo na mkusanyiko na watu.

Hata hivyo, endapo barakoa haitotumika vizuri ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa moja kwa muda mrefu bila kufua au kuchangia barakoa na mtu mwingine inaweza kukupatia maambukizi.

Kupitia video hii, unaweza kujifunza njia mbalimbali za kuepuka maambukizi ya Corona pale unapokuwa unatumia barakoa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV