Unavyoweza kuepuka maambukizi ya Corona kupitia barakoa

March 25, 2021 2:40 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuzingatia kanuni muhimu za matumizi ya  barakoa ikiwemo namna ya kuzitupa na kuzihifadhi.

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali wa afya likiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO) wameshauri  matumizi sahihi ya barakoa kama njia ya kujikinga na maambukizi ya Corona pale unapokuwa katika maeneno yaliyo na mkusanyiko na watu.

Hata hivyo, endapo barakoa haitotumika vizuri ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa moja kwa muda mrefu bila kufua au kuchangia barakoa na mtu mwingine inaweza kukupatia maambukizi.

Kupitia video hii, unaweza kujifunza njia mbalimbali za kuepuka maambukizi ya Corona pale unapokuwa unatumia barakoa.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV