Unavyoweza kuepuka maambukizi ya Corona kupitia barakoa

March 25, 2021 2:40 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuzingatia kanuni muhimu za matumizi ya  barakoa ikiwemo namna ya kuzitupa na kuzihifadhi.

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali wa afya likiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO) wameshauri  matumizi sahihi ya barakoa kama njia ya kujikinga na maambukizi ya Corona pale unapokuwa katika maeneno yaliyo na mkusanyiko na watu.

Hata hivyo, endapo barakoa haitotumika vizuri ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa moja kwa muda mrefu bila kufua au kuchangia barakoa na mtu mwingine inaweza kukupatia maambukizi.

Kupitia video hii, unaweza kujifunza njia mbalimbali za kuepuka maambukizi ya Corona pale unapokuwa unatumia barakoa.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV