Unayotakiwa kufanya ikiwa unaishi kwenye eneo lenye maambukizi makubwa ya COVI-19
April 6, 2021 1:17 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Unayotakiwa kufanya ikiwa unaishi kwenye eneo lenye maambukizi makubwa ya COVI-19 ni pamoja na kuhakikisha unapata hewa safi, mazingira tulivu, epuka mikusanyiko ya watu, vaa barakoa, nawa mikono na tumia kitakasa mikono.
