Teknolojia

Teknolojia · May 25, 2026 8:30 pm

Vijana wa kitanzania kunufaika na uchumi wa kidigitali

Serikali ya Tanzania imesema inaendelea kuimarisha mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) ili kutoa fursa kwa vijana kunufaika na uchumi wa kidigitali.

Tech · May 4, 2026 10:05 am

Fursa, watumiaji wa intaneti Tanzania wakifikia milioni 58.1

Takwimu hizo zinaonyesha kuwa hadi kufikia Desemba 2025 watumiaji wa intaneti walifikia milioni 58.1 kutoka watumiaji  56.3 waliokuwepo Septemba 2025.

Habari · April 24, 2026 3:48 pm

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari 

Nukta AI itasaidia upatikanaji wa taarifa na takwimu kama vile bei za hisa, viwango vya kubadili fedha na bei za mazao.

Teknolojia · March 26, 2026 4:51 pm

Gharama, elimu ya kidigitali vikwazo vya ukuaji wa ‘Fintech’ Tanzania

FinTech imekuwa mhimili mkubwa wa ujumuishaji wa kifedha, hasa kupitia huduma za fedha kwa njia ya simu zilizowafikia mamilioni ya watu barani Afrika.

Teknolojia · March 17, 2026 2:56 pm

Sababu, Meta ikitangaza kuondoa ‘end-to-end encryption’ Instagram

Ni kuanzia Mei 8,2026, yasema huduma ya jumbe za kificho itaendelea kuwepo kwenye mitandao yake mingine ikiwemo Whatsapp.

Teknolojia · March 13, 2026 3:32 pm

Vodacom, Tafina zitakavyoshiriki kongamano la uwekezaji Afrika Mashariki

Ushirikiano huo unaonesha dhamira ya dhati ya Vodacom katika kuendeleza ujumuishaji wa huduma za kifedha kwa njia za kidijitali na kuchochea uwekezaji.

Biashara · March 4, 2026 9:19 am

Kuzimwa kwa intaneti kunavyoathiri maisha ya Watanzania

Husababisha kusimama kwa shughuli za kiuchumi, kuvuruga mawasiliano, hasara ya kifedha na huathiri elimu na huduma za afya.

News · February 19, 2026 3:14 pm

Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS

Kupitia mradi huo teknolojia ya AI itatumika kuchambua picha za kitabibu ili kuboresha ugunduzi wa mapema wa saratani na kuongeza usahihi katika uchunguzi.

Teknolojia · February 9, 2026 4:07 pm

Musk kujenga makazi ya binadamu mwezini

Musk anaamini maisha nje ya dunia ni bima ya kumfanya binadamu kuendelea kuwepo hata kama ingekumbwa na majanga makubwa. 

Biashara · February 5, 2026 3:43 pm

Watengeneza maudhui Kenya wavuna mamilioni TikTok, Tanzania ikisuasua

Kipengele hiko kinapatikana kwenye mataifa 70 duniani huku Mataifa ya Afrika yakiwa ni matano tu ambayo ni Misri, Kenya, Morocco, Nigeria na Afrika Kusini.

Maoni & Uchambuzi · January 23, 2026 5:51 pm

Kutoka NIDA hadi Jamii Namba: Safari ya utambulisho wa kidijitali Tanzania

Mchakato wa Jamii Namba umefikia wapi? Wananchi wataanza lini kuitumia kupata huduma mbalimbali?

Teknolojia · January 14, 2026 9:02 am

Vijana na mustakabali wa miundombinu ya kidijitali ya umma Tanzania

Ushiriki wa vijana kujenga miundombinu imara ya kidijitali ya umma kutaboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa nchi.

Biashara · January 12, 2026 1:16 pm

Grok yageukia mfumo wa malipo, mataifa waikosoa

Ni kufuatia malalamiko makubwa kuhusu matumizi mabaya ya teknolojia hiyo kutengeneza picha za utupu za wanawake na watoto.

Teknolojia · December 22, 2025 12:08 pm

Fahamu mitandao ya kijamii iliyotumiwa zaidi Tanzania 2025

Kufikia Septemba 2025, Watanzania milioni 56.3 wameunganishwa na huduma ya intaneti huku takriban Watanzania milioni 26.9 wakirekodiwa kutumia simu janja.

Teknolojia · November 27, 2025 5:01 pm

Watumiaji X (Twitter) sasa kufahamika walipo

Mkuu wa Bidhaa wa X, Nikita Bier, amesema hatua hiyo inalenga kuongeza uwazi na kuwapa watumiaji muktadha wa kutosha ili kutambua uhalisia wa akaunti.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV