Teknolojia
Teknolojia · May 25, 2026 8:30 pm
Serikali ya Tanzania imesema inaendelea kuimarisha mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) ili kutoa fursa kwa vijana kunufaika na uchumi wa kidigitali.
Tech · May 4, 2026 10:05 am
Takwimu hizo zinaonyesha kuwa hadi kufikia Desemba 2025 watumiaji wa intaneti walifikia milioni 58.1 kutoka watumiaji 56.3 waliokuwepo Septemba 2025.
Habari · April 24, 2026 3:48 pm
Nukta AI itasaidia upatikanaji wa taarifa na takwimu kama vile bei za hisa, viwango vya kubadili fedha na bei za mazao.
Teknolojia · March 26, 2026 4:51 pm
FinTech imekuwa mhimili mkubwa wa ujumuishaji wa kifedha, hasa kupitia huduma za fedha kwa njia ya simu zilizowafikia mamilioni ya watu barani Afrika.
Teknolojia · March 17, 2026 2:56 pm
Ni kuanzia Mei 8,2026, yasema huduma ya jumbe za kificho itaendelea kuwepo kwenye mitandao yake mingine ikiwemo Whatsapp.
Teknolojia · March 13, 2026 3:32 pm
Ushirikiano huo unaonesha dhamira ya dhati ya Vodacom katika kuendeleza ujumuishaji wa huduma za kifedha kwa njia za kidijitali na kuchochea uwekezaji.
Biashara · March 4, 2026 9:19 am
Husababisha kusimama kwa shughuli za kiuchumi, kuvuruga mawasiliano, hasara ya kifedha na huathiri elimu na huduma za afya.
News · February 19, 2026 3:14 pm
Kupitia mradi huo teknolojia ya AI itatumika kuchambua picha za kitabibu ili kuboresha ugunduzi wa mapema wa saratani na kuongeza usahihi katika uchunguzi.
Teknolojia · February 9, 2026 4:07 pm
Musk anaamini maisha nje ya dunia ni bima ya kumfanya binadamu kuendelea kuwepo hata kama ingekumbwa na majanga makubwa.
Biashara · February 5, 2026 3:43 pm
Kipengele hiko kinapatikana kwenye mataifa 70 duniani huku Mataifa ya Afrika yakiwa ni matano tu ambayo ni Misri, Kenya, Morocco, Nigeria na Afrika Kusini.
Maoni & Uchambuzi · January 23, 2026 5:51 pm
Mchakato wa Jamii Namba umefikia wapi? Wananchi wataanza lini kuitumia kupata huduma mbalimbali?
Teknolojia · January 14, 2026 9:02 am
Ushiriki wa vijana kujenga miundombinu imara ya kidijitali ya umma kutaboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa nchi.
Biashara · January 12, 2026 1:16 pm
Ni kufuatia malalamiko makubwa kuhusu matumizi mabaya ya teknolojia hiyo kutengeneza picha za utupu za wanawake na watoto.
Teknolojia · December 22, 2025 12:08 pm
Kufikia Septemba 2025, Watanzania milioni 56.3 wameunganishwa na huduma ya intaneti huku takriban Watanzania milioni 26.9 wakirekodiwa kutumia simu janja.
Teknolojia · November 27, 2025 5:01 pm
Mkuu wa Bidhaa wa X, Nikita Bier, amesema hatua hiyo inalenga kuongeza uwazi na kuwapa watumiaji muktadha wa kutosha ili kutambua uhalisia wa akaunti.