News

News · May 26, 2026 12:15 pm

Mgomo wa daladala wasitishwa Arusha, Madereva wafunguka mazito

Hatimaye mgomo wa vyombo vya usafiri ikiwemo daladala umesitishwa rasmi jijini Arusha baada ya Serikali kuahidi kushughulikia baadhi ya changamoto zilizokuwa zikilalamimikiwa.

News · May 25, 2026 11:18 pm

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia, Rais Samia amlilia

Amefariki dunia leo Mei 25, 2026 nyumbani kwake Chato, mkoani Geita baada ya kuugua muda mrefu.

News · May 25, 2026 5:18 pm

Wahamiaji haramu waongezeka kwa asilimia 112 ndani ya mwaka mmoja

Mathalani, mwaka 2025 kulikuwa na ongezeko la asilimia 31 kutoka watuhumiwa 17,791 waliokamatwa hadi Aprili 2024 ambapo kati yao 13,045 waliondoshwa nchini na kurudishwa katika nchi zao

News · May 20, 2026 5:24 pm

Huu hapa mwarobaini wa foleni za barabarani Dar

Utekelezaji wa miradi hiyo pamoja na mingineyo uutatumia Sh2.4 trilioni katika mwaka wa fedha 2026/27.

News · May 19, 2026 4:10 pm

Waandishi watatu wa Nukta Africa kuwania tuzo za EJAT 2024/2025

Sungura ameongeza kuwa awamu hii wametumia vivimetumika vigezo vya msingi takribani kumi katika kuchuja kazi 594 za waandishi walizozikisanya.

News · May 18, 2026 10:05 pm

Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa kijinai matukio ya Oktoba 29

Tume hiyo inaundwa baada ya takribani wiki tatu tangu tume ya kuchunguza matukio ya vurugu za wakati na baada ya uchaguzi mkuu

News · May 11, 2026 4:29 pm

Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili

Dar es Salaam. Idadi ya wananchi waliopata huduma za afya ya akili na msaada wa kisaikolojia na kijamii nchini imeongezeka kwa asilimia 89.3  katika kipindi cha miaka miwili, huku Serikali ikianika mikakati mipya ya kukabiliana na changamoto hiyo. Mohamed Mchengerwa, Waziri wa Wizara ya Afya aliyekuwa akiwasilisha bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027 leo […]

News · May 6, 2026 1:28 pm

Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259

Kupanda huko kwa mafuta kumepunguza karibu lita 1.06 ya petroli kutoka kiwango kilichokuwa kikipatikana mwezi uliopita.

News · May 4, 2026 3:27 pm

Wizara ya Habari yaomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh525.32 bilioni mwaka wa fedha 2026/27

Wizara pia imejipanga kuratibu na kusimamia matamasha, shughuli na matukio makubwa ya kitaifa na kimataifa yanayohusiana na habari, utamaduni, sanaa na michezo.

News · May 2, 2026 1:42 pm

Rais Kagame kufanya ziara ya kikazi Tanzania kesho

Katika ziara hiyo, Rais Kagame atafanya mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Tanzania Samia Suluhu Hassan. Mazungumzo yao yataangazia masuala ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili

News · May 1, 2026 3:49 pm

Rais Samia: Vijana 7,593 wamepata ajira nje ya nchi

Ili kuendelea kufungua fursa nyingi zaidi za ajira nje ya nchi Rais Samia amesema Serikali yake itaendelea kuratibu fursa hizo ili zilete tija kwa vijana.

News · April 30, 2026 4:08 pm

Makonda: Vyombo vya habari haviwezi kuwa huru bila uchumi imara

“Uchumi wa habari unapokuwa mdogo unawapa nafasi wanasiasa uchwara na wala rushwa kuwatia mfukoni,” amesema Makonda.

News · April 28, 2026 4:21 pm

Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti

Hata hivyo, amesisitiza kuwa tume haitakimbilia hatua za kuwawajibisha watu bila kuwapa nafasi ya kusikilizwa, kwa kuzingatia kanuni za haki asilia.

News · April 28, 2026 4:06 pm

Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini

Kwa wiki kadhaa sasa, kumekuwa na mjadala mkali mtandaoni kufuatia kusambaa kwa video zinazoonesha watu wanaodaiwa kuwa raia wa Afrika kusini wakiwashambulia raia wa kigeni jambo lililozua hofu na taharuki. 

News · April 27, 2026 4:09 pm

Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini

Kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wizara hiyo iliidhinishiwa jumla ya Sh124.6 bilioni sawa na asilimia 55.38 ya bajeti yote kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ikiwemo zinazotekelezwa na GST.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

Nukta TV

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

Nukta TV

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV