News

News · September 1, 2026 2:07 pm

Serikali yajibu uhaba wa wataalamu wa ganzi, usingizi

Desemba 12, 2024, Nukta Habari ilichapisha makala maalum iliyoelezea uhaba wa watalaamu wa ganzi na usingizi.

News · August 31, 2026 3:59 pm

Serikali yafafanua madai ya kisiwa cha Lupita kuuzwa

Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, inaeleza wawekezaji raia wa kigeni hupata ardhi kwa ajili ya uwekezaji kupitia utaratibu maalumu unaotambuliwa kisheria.

News · August 28, 2026 1:13 pm

Bunge lampitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais kwa asilimia100

Ndejembi amepata kura 324 kati ya ya kura 324  za wabunge zilizopigwa, sawa na asilimia 100 ya kura zote.

News · August 22, 2026 4:20 pm

Hayati Magufuli, Rais Samia walivyoichonga historia ya Bwawa la Mwalimu Nyerere

Baada ya Ujerumani kushindwa vita na Waingereza kuchukua utawala wa Tanganyika, wazo la kutumia Mto Rufiji kwa maendeleo liliendelea kufanyiwa tafiti

News · August 21, 2026 6:19 pm

Walimu sita mbaroni kifo cha mwanafunzi Mara 

Kamanda Lutumo amesema, chanzo cha kifo cha Chisumo bado hakijathibitishwa, kutokana na kuendelea kwa uchunguzi wa kitabibu. 

News · August 19, 2026 6:15 pm

Chalamila kutegua kitendawili cha mabasi stendi ya Magufuli

Ahadi hiyo ilipokelewa kwa shangwe na Wananchi waliokuwa katika eneo hilo kuanzia saa nne asubuhi wakisubiri ujio wa mkuu wa mkoa.

News · August 19, 2026 9:06 am

Agizo la Chalamila Stendi ya Magufuli laibua maoni mseto

Baadhi ya Wananchi wametoa maoni mseto kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, lililozitaka shughuli za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kuhamia katika stendi kuu ya mabasi ya Magufuli. 

News · August 13, 2026 6:03 pm

Nukta AI, Pawa AI zaungana kuimarisha teknolojia ya lugha za Kiafrika

Afisa Maendeleo ya Biashara wa Nukta Africa, amesema ushirikiano huo utasaidia kampuni kuendeleza bidhaa zake.

News · August 10, 2026 3:06 pm

Matumizi ya intaneti Tanzania yapaa kwa asilimia 11.65

Ripoti hiyo imeonesha kuwa pamoja na ukuaji wa matumizi ya intaneti, usajili wa laini za simu umefikia milioni 117.

News · August 7, 2026 1:19 pm

Rais Samia azindua tume kuchunguza wahusika wa ghasia za Oktoba 29,2025

Tume hiyo imepewa muda wa siku 150 kukamilisha uchunguzi wake na kuwasilisha ripoti kwa Rais.

Biashara · August 3, 2026 4:44 pm

Why you should attend the 10th Africa Agri Expo 2026

If you are yet to register here are some key reasons why you should attend the two events at Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds in Dar es Salaam from 2nd to 3rd September, 2026.

News · August 3, 2026 4:13 pm

Serikali, sekta binafsi zitakavyoshirikiana kufikia Dira ya 2050

Sekta binafsi inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa malengo ya dira hiyo.

News · July 30, 2026 12:03 pm

Ifahamu mikoa mitano yenye ATM chache zaidi Tanzania 

Wakati Pemba ikiwa na ATM nane pekee, Dar es Salaam inaendelea kuwa kitovu cha huduma za ATM nchini.

News · July 28, 2026 5:05 pm

Homa ya ini tishio duniani, Tanzania ikipunguza maambukizi

Kwa mujibu wa Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Eliud Eliakimu ugonjwa huo husababishwa na aina tano za virusi aina  A, B, C, D na E.

News · July 20, 2026 2:50 pm

Watakaohujumu SGR, bandari, meli Kigoma kumulikwa

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Fahamu kuhusu 'BIPOLAR' | Ugonjwa hatari unaoathiri na kubadili hisia

Fahamu kuhusu 'BIPOLAR' | Ugonjwa hatari unaoathiri na kubadili hisia

Nukta TV

Je, ’BIPOLAR’ ina uhusiano na kupenda kufanya tendo la ndoa zaidi?

Je, ’BIPOLAR’ ina uhusiano na kupenda kufanya tendo la ndoa zaidi?

Nukta TV

Hii ndio sababu uhusiano wa kimapenzi ni marufuku makazini

Hii ndio sababu uhusiano wa kimapenzi ni marufuku makazini

Nukta TV