News
News · June 13, 2026 2:55 pm
Mwaka 2023 likafikia Sh77.01 trilioni na mwaka 2024 deni lilikuwa Sh97.35 trilioni sawa na ongezeko la asilimia 26.41 ndani ya mwaka mmoja.
News · June 11, 2026 6:54 pm
Kufikia mwaka 2009, matumizi ya vocha za kukwangua yalikuwa yameenea sana nchini kiasi kwamba watu walikuwa hata wanazitumia kutumiana thamani kama mbadala wa pesa.
News · June 11, 2026 6:03 pm
Serikali ya Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, hasa kutokana na matarajio ya kupungua kwa misaada kutoka nje.
News · June 11, 2026 5:35 pm
Licha ya deni hilo kupaa, Balozi Omar tathmini iliyofanywa Novemba 2025 imeonesha kuwa deni hilo ni himilivu katika kipindi cha muda wa kati na mrefu.
News · June 11, 2026 1:04 pm
Dodoma. Serikali imesema Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/27 itajikita katika maeneo matano ya vipaumbele ikiwemo kujenga uchumi imara, jumuishi na shindani ikiwa ni mwanzo wa safari ya utekelezaji wa Dira 2050 inayolenga kuwa na uchumi wa Dola za Marekani trilioni moja. Katika hotuba yake ya hali ya uchumi wa Taifa, Waziri wa Nchi, Ofisi […]
News · June 4, 2026 4:52 pm
Watanzania 5,000 wamewahi kusoma katika vyuo vya Urusi na iliyokuwa Umoja wa Kisovieti, huku wengi wanaorejea nchini humo hutoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa.
News · June 3, 2026 3:40 pm
Katika kipindi hicho, pia aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, akihudumu kuanzia Novemba 2010 hadi mwaka 2014.
News · June 2, 2026 9:05 pm
Ni baada ya kukaa nje ya ulingo kwa takribani miezi 8.
News · June 2, 2026 10:44 am
Waziri Gwajima wakati akiwasilisha hotuba yake alitoa rai kwa Jamii kushiriki katika kulinda maadili kwa ajili ya manufaa ya vizazi vijavyo.
News · June 1, 2026 8:12 pm
Dk Dorothy Gwajima, Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, matukio 10,290 ya ukatili dhidi ya watoto yaliripotiwa mwaka 2025.
News · June 1, 2026 1:38 pm
Msimu wa pili wa Tuzo za Samia Kalamu Awards 2026 umezinduliwa rasmi huku kigezo kikuu kwa washiriki kikiwa ni kuwa na kitambulisho kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB).
News · May 30, 2026 2:39 pm
Waandishi watatu wa Nukta Africa walitajwa kuwa miongoni mwa washindi wa tuzo mbalimbali za EJAT zilizofanyika Mei 29,2026.
News · May 26, 2026 12:15 pm
Hatimaye mgomo wa vyombo vya usafiri ikiwemo daladala umesitishwa rasmi jijini Arusha baada ya Serikali kuahidi kushughulikia baadhi ya changamoto zilizokuwa zikilalamimikiwa.
News · May 25, 2026 11:18 pm
Amefariki dunia leo Mei 25, 2026 nyumbani kwake Chato, mkoani Geita baada ya kuugua muda mrefu.
News · May 25, 2026 5:18 pm
Mathalani, mwaka 2025 kulikuwa na ongezeko la asilimia 31 kutoka watuhumiwa 17,791 waliokamatwa hadi Aprili 2024 ambapo kati yao 13,045 waliondoshwa nchini na kurudishwa katika nchi zao