Ahueni: Bei ya viazi mviringo yashuka Singida

October 25, 2024 6:40 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la viazi mviringo la kilo 100 mkoani Sindiga itakulazimu kulipia Sh65,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Kilimanjaro, Mara, Tanga, Songwe, Katavi, Pwani na Simiyu ya Sh150,000 kwa gunia la kilo 100.

Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imeng’ang’ania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Nukta TV

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Nukta TV

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Nukta TV