Ahueni: Bei ya viazi mviringo yashuka Singida

October 25, 2024 6:40 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la viazi mviringo la kilo 100 mkoani Sindiga itakulazimu kulipia Sh65,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Kilimanjaro, Mara, Tanga, Songwe, Katavi, Pwani na Simiyu ya Sh150,000 kwa gunia la kilo 100.

Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imeng’ang’ania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV