Sababu baadhi ya bidhaa za chakula kutengwa Soko Kuu la Kariakoo

February 16, 2026 6:19 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuweka usawa wa mzunguko wa wateja katika sakafu zote.

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa mboga mboga katika Soko Kuu la Kariakoo walalamikia mpangilio wa bidhaa muhimu kutengwa katika sakafu tofauti, hali inayodaiwa kuwasumbua wateja na kupunguza mauzo.

Malalamiko hayo yanahusu bidhaa kama vitunguu, nyanya, karoti na pilipili hoho ambazo zimewekwa sakafu ya pili, wakati mboga nyingine zikiwa sakafu ya chini. 

Katika mahojiano na Nukta TV, wafanyabiashara hao wanasema wateja wengi wanapendelea kukuta bidhaa zote muhimu katika eneo moja badala ya kuzunguka sakafu mbalimbali, hali inayowachosha wanunuzi na kusababisha wao kupoteza mapato kutokana na kupungua kwa mauzo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
13 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
14 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
14 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Nukta TV

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Nukta TV

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

Nukta TV