Biashara
Biashara · June 11, 2026 5:19 pm
Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.
Biashara · June 11, 2026 8:00 am
IoT is a digital technology that connects electronic devices through the internet, enabling them to communicate, collect information and take action in real time.
Biashara · June 10, 2026 6:23 pm
Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo.
Biashara · June 10, 2026 5:27 pm
Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.
Biashara · June 10, 2026 8:19 am
IoT ni huduma ya kidijitali inayounganisha vifaa vya kielektroniki kupitia intaneti na kuviwezesha kuwasiliana, kukusanya taarifa na kuchukua hatua kwa papo hapo
Biashara · June 9, 2026 4:57 pm
Ni mfumo unaotajariwa kupunguza ucheleweshaji wa miamala na tofauti za viwango vya ubadilishaji kati ya taasisi mbalimbali za fedha.
Biashara · June 9, 2026 4:00 pm
Kiwango cha mfumko wa bei cha Mei 2026 ndio kiwango cha juu zaidi kwa miaka mitatu iliyopita.
Biashara · June 8, 2026 4:15 pm
Watanzania sasa wataweza kuweka fedha kwenye akaunti zao za PayPal na kutoa fedha kutoka PayPal moja kwa moja kwenda M-Pesa.
Biashara · June 3, 2026 1:31 am
Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.
Biashara · May 29, 2026 6:53 pm
Huenda wamiliki wa vyombo vya moto nchini Tanzania vinavyotumia gesi asilia iliyoshinikizwa (CNG) wakapata ahueni kiduchu mara baada ya Serikali kutangaza mpango wa kuongeza vituo10 vya gesi hiyo nchini.
Biashara · May 22, 2026 5:36 pm
Biashara kati ya Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.
Biashara · May 20, 2026 9:47 am
Kwa pamoja, kiwango hicho pendekezwa ni ongezeko la asilimia 42.2 kutoka gawio la Sh428.85 kwa kila hisa la mwaka 2024.
Biashara · May 18, 2026 9:07 pm
Mkutano huo unaotarajia kufanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania utawakutanisha washiriki zaidi ya 10,000 kutoka nchi zaidi ya 35.
Biashara · May 18, 2026 2:55 pm
Suzuki Swift inaweza kutumia lita moja ya mafuta kwa wastani wa kilomita 18 hadi 23.
Biashara · May 18, 2026 10:06 am
NMB inatarajia kuongeza mtaji wa utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu kwa wakulima, wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs)