Biashara

Biashara · June 11, 2026 5:19 pm

Serikali yapendekeza kodi mpya kwenye kamari Tanzania

Pendekezo hilo jipya linatarajia kuingiza Sh74.5 bilioni kwenye kibubu cha Serikali mwaka 2026/27.

Biashara · June 11, 2026 8:00 am

Inside Yas Business push to accelerate IoT in Tanzania

IoT is a digital technology that connects electronic devices through the internet, enabling them to communicate, collect information and take action in real time.

Biashara · June 10, 2026 6:23 pm

NMB kugawanya hisa 1 kuwa 10 kuchochea uwekezaji sokoni

Hii ina maanisha kuwa hisa moja ya NMB ya sasa itakuwa ni sawa na hisa 10 huku bei ya hisa moja ikipungua kwa uwiano huo huo. 

Biashara · June 10, 2026 5:27 pm

Wanahisa NMB wagawana Sh305.08 bilioni za faida

Gawio la faida la NMB kwa hisa limeongezeka kwa asilimia 217.8% ndani ya miaka mitano tangu lilipokuwa Sh193 mwaka 2021.

Biashara · June 10, 2026 8:19 am

Safari ya Yas Business kukuza matumizi ya IoT Tanzania

IoT ni huduma ya kidijitali inayounganisha vifaa vya kielektroniki kupitia intaneti na kuviwezesha kuwasiliana, kukusanya taarifa na kuchukua hatua kwa papo hapo

Biashara · June 9, 2026 4:57 pm

BoT yazindua EMS kuimarisha ushindani na uwazi kwenye soko la dola Tanzania

Ni mfumo unaotajariwa kupunguza ucheleweshaji wa miamala na tofauti za viwango vya ubadilishaji kati ya taasisi mbalimbali za fedha.

Biashara · June 9, 2026 4:00 pm

Mfumuko wa bei wafikia asilimia 4.2 Tanzania

Kiwango cha mfumko wa bei cha Mei 2026 ndio kiwango cha juu zaidi kwa miaka mitatu iliyopita.

Biashara · June 8, 2026 4:15 pm

M- Pesa, Paypal ilivyotegua kitendawili cha miamala ya kimataifa Tanzania

Watanzania sasa wataweza kuweka fedha kwenye akaunti zao za PayPal na kutoa fedha kutoka PayPal moja kwa moja kwenda M-Pesa.

Biashara · June 3, 2026 1:31 am

Bei mpya za mafuta Juni hizi hapa, dizeli yapaa kwa Sh85

Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

Biashara · May 29, 2026 6:53 pm

Ahueni, Serikali ikitangaza kuongeza vituo 10 vya CNG Dar, Mtwara, Moro

Huenda wamiliki wa vyombo vya moto nchini Tanzania vinavyotumia gesi asilia iliyoshinikizwa (CNG) wakapata ahueni kiduchu mara baada ya Serikali kutangaza mpango wa kuongeza vituo10 vya gesi hiyo nchini.

Biashara · May 22, 2026 5:36 pm

Biashara ya Tanzania na EAC yapaa kwa asilimia 8.9

Biashara kati ya Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.

Biashara · May 20, 2026 9:47 am

NMB Bank yatangaza gawio la Sh610 kwa hisa 2025

Kwa pamoja, kiwango hicho pendekezwa ni ongezeko la asilimia 42.2 kutoka gawio la Sh428.85 kwa kila hisa la mwaka 2024.

Biashara · May 18, 2026 9:07 pm

Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026

Mkutano huo unaotarajia kufanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania utawakutanisha washiriki zaidi ya 10,000 kutoka nchi zaidi ya 35.

Biashara · May 18, 2026 2:55 pm

Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo 

Suzuki Swift inaweza kutumia lita moja ya mafuta kwa wastani wa kilomita 18 hadi 23.

Biashara · May 18, 2026 10:06 am

NMB yaweka kibindoni $80 milioni kukuza utoaji mikopo Tanzania

NMB inatarajia kuongeza mtaji wa utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu na ya muda mrefu kwa wakulima, wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs)

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV