Zaidi ya wananchi 100,000 wapata chanjo ya Corona Tanzania
August 9, 2021 11:17 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Serikali imesema zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona aina ya Johnson & Johnson kwaa makundi ya walengwa (watumishi wa afya, watu wenye umri wa miaka zaidi ya 50 na wagonjwa) linaeendelea vizuri.
Hadi kufikia Agosti 7, 2021 watu zaidi 164,500 walikuwa wameshajiandikisha (booking) kwa ajili ya kupatiwa chanjo huku wengine 105,745 wakiwa tayari wameshapatiwa chanjo kufikia tarehe hiyo.

Latest
11 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
54 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650