Zaidi ya wananchi 100,000 wapata chanjo ya Corona Tanzania

August 9, 2021 11:17 am ยท Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Serikali imesema zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona aina ya Johnson & Johnson kwaa makundi ya walengwa (watumishi wa afya, watu wenye umri wa miaka zaidi ya 50 na wagonjwa) linaeendelea vizuri.

Hadi kufikia Agosti 7, 2021 watu zaidi 164,500 walikuwa wameshajiandikisha (booking) kwa ajili ya kupatiwa chanjo huku wengine 105,745 wakiwa tayari wameshapatiwa chanjo kufikia tarehe hiyo.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW