Hatua kwa hatua: Safari ya utoaji chanjo ya Corona Tanzania

September 27, 2021 2:52 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Hadi Septemba 26, 2021 dozi 400,000 zilikuwa zimeshatolewa nchini, ikiwa ni mbili ya tano ya mzigo wote ulioingizwa nchini.

Dar es Salaam. Ikiwa ni takriban miezi miwili tangu kuzinduliwa kwa zoezi la utoaji chanjo ya Uviko-19 nchini, jumla ya watu 400,000 wamekwisha chanja chanjo hiyo ikiwa ni asilimia 37.8 au mbili ya tano ya dozi zote zilizopokelewa Tanzania mwishoni mwa Julai mwaka huu. 

Ujio wa chanjo hiyo ulikuja baada ya Serikali ya Tanzania kujiunga na mpango wa ‘Covax facility’ kwa ajili ya kupata chanjo dhidi ya Uviko-19 Juni 15, 2021.

Baada ya kujiunga na mpango huo, Julai 24 Tanzania ilipokea dozi 1,058,400 za Johnson & Johnson kutoka Marekani kupitia mpango wa Covax na kuzinduliwa rasmi siku nne baadaye na Rais Samia Suluhu Hassan. 

Licha ya kuanza kampeni rasmi ya utoaji chanjo hiyo Agosti 3 mwaka huu bado kiwango kikubwa cha dozi zilizopokelewa hakijatumika ikiwa ni chini ya nusu ya dozi zote kiasi cha kuifanya Serikali kuanzisha kampeni ya nyumba kwa nyumba kushawishi watu wengi zaidi kuchanja. Kuchanja chanjo ya Uviko-19 ni hiyari nchini Tanzania. 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
20 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Prof. Mbalawa, Waziri Misri wavutana, makubaliano ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Prof. Mbalawa, Waziri Misri wavutana, makubaliano ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Nukta TV

Rais Samia: Nchi za Afrika zinaweza, bila ushiriki wa mataifa ya nje

Rais Samia: Nchi za Afrika zinaweza, bila ushiriki wa mataifa ya nje

Nukta TV

Mfahamu ‘African Goose’ bata mwenye kilo 14 anayeuzwa Sh2 milioni

Mfahamu ‘African Goose’ bata mwenye kilo 14 anayeuzwa Sh2 milioni

Nukta TV