Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 19,2024
December 19, 2024 9:57 am ·
Kelvin Makwinya
Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,440 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imepanda Kwa Sh10 ambapo inanunuliwa Sh2,300 na kuuzwa Sh2,450 leo Disemba 19,2024 huku kwa upande wa Benki ya NMB Dola ya Marekani inaendelea kuimarika ambapo inanunuliwa Sh2,310 na kuuzwa Sh2,450 Alhamisi ya leo Disemba 17,2024.

Latest

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Idara ya Uhamiaji yakamata raia 62 wa kigeni Kariakoo

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kufikia Sh81.86 bilioni mwaka 2025/2026

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco, Vatican

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 25, 2025