Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Desemba 19,2024

December 19, 2024 9:57 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,290 na kuuzwa Sh2,440 kwa mujibu wa Benki ya CRDB jana imepanda Kwa Sh10 ambapo inanunuliwa Sh2,300 na kuuzwa Sh2,450 leo Disemba 19,2024 huku kwa upande wa Benki ya NMB Dola ya Marekani inaendelea kuimarika ambapo inanunuliwa Sh2,310 na kuuzwa Sh2,450 Alhamisi ya leo Disemba 17,2024.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV