Shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika dhidi ya Dola

December 18, 2024 6:40 pm · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika siku baada ya siku dhidi ya Dola ya Marekani. Ndani ya mwezi Disemba kulinganisha na mwezi uliopita ambapo Dola ilikuwa juu zaidi.

Kuimarika kwa Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani ni shangwe kwa wafanyabiashara hasa wanaoagiza bidhaa nje ya nchi, kwasababu hutumia Dola kufanya malipo za bidhaa zao.

Hata katika soko la rejareja kutoka benki za biashara, shilingi imeimarika, viwango cha kubadili fedha (exchange rate). Benki ya CRDB vinabainisha kuwa Dola moja inauzwa Sh2,440 leo kutoka Sh2,740 ndani ya mwezi Novemba

Hata katika soko la jumla Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Shilingi imezidi kuimarika.

Tumia viwango hivi leo Disemba 18, 2024 kubadili Shilingi dhidi ya Dola ya Dola ya Marekani.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.