Shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika dhidi ya Dola

December 18, 2024 6:40 pm · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika siku baada ya siku dhidi ya Dola ya Marekani. Ndani ya mwezi Disemba kulinganisha na mwezi uliopita ambapo Dola ilikuwa juu zaidi.

Kuimarika kwa Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani ni shangwe kwa wafanyabiashara hasa wanaoagiza bidhaa nje ya nchi, kwasababu hutumia Dola kufanya malipo za bidhaa zao.

Hata katika soko la rejareja kutoka benki za biashara, shilingi imeimarika, viwango cha kubadili fedha (exchange rate). Benki ya CRDB vinabainisha kuwa Dola moja inauzwa Sh2,440 leo kutoka Sh2,740 ndani ya mwezi Novemba

Hata katika soko la jumla Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Shilingi imezidi kuimarika.

Tumia viwango hivi leo Disemba 18, 2024 kubadili Shilingi dhidi ya Dola ya Dola ya Marekani.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV