Viwango vya kubadili fedha za kigeni leo Disemba 20,2024
December 20, 2024 2:48 pm ·
Kelvin Makwinya
Dola ya Marekani iliyokuwa ikinunuliwa kwa Sh2,310 na kuuzwa Sh2,450 kwa mujibu wa NMB jana imepanda na kununuliwa kwa Sh2,352 na kuuzwa Sh2,789 leo Disemba 20,2024 huku kwa upande wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Dola ya Marekani inaendelea kuimarika ambapo inanunuliwa Sh2,435 na kuuzwa Sh2,460 Ijumaa ya leo Disemba 20,2024.
Tumia viwango hivi kubadili Shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni leo.

Latest

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Idara ya Uhamiaji yakamata raia 62 wa kigeni Kariakoo

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kufikia Sh81.86 bilioni mwaka 2025/2026

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco, Vatican

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 25, 2025